hasamehewi mtu mpaka kielewekena sisi machalii wa arusha tumezidi jana kimenuka na policcm leo tena mgamboccm ,kama vp leo tuwasamehe tu
ila jamaa wa policcm siku hizi hawapigi virungu wanapasua tumbo mpaka utumbo! mm siendi huko jamanii japo nipo atownhasamehewi mtu mpaka kieleweke
ila jamaa wa policcm siku hizi hawapigi virungu wanapasua tumbo mpaka utumbo! mm siendi huko jamanii japo nipo atown
nimesha fika tayari ,lakini shwari tuDogo acha uoga. Usipopasuliwa kwa risasi utapasuliwa kwa njaa. Nenda kashuhudie uozo.
Hapa Nmc Arusha kimenuka baada ya kundi kubwa la wafanyabiashara za mbogamboga
kuhamishiwa hapo asubuhi ya leo na kukutana na mambo yasiyoeleweka kimpangilio na
hivyo kuleta tafrani kubwa mpaka sasa bado haijaileweka ni nini kitatokea hapa
Chadema hao!