Kimbiji Kigamboni, ni sehemu nzuri ya kuponea

Kimbiji Kigamboni, ni sehemu nzuri ya kuponea

Kumbe bado mdogo sana. Nina maanidha hivi. Hizo habari za kuwachakata mmoja mmoja hadi wafike nane ni matumizi mabovu ya muda na rasilimali.
Anza na either watatu, then watatu, then malizia wawili au;
Anza na wawili wawili ili uwe miongoni mwa wanadamu waliowahi kuishi duniani badala ya kuwa miongoni mwa walioijaza dunia.
Huo ni uhuni
 
Kiukweli kwakua Leo nilikua maeneo ya kigamboni na usafiri wangu nikaona niende KIMBIJI nilisikia beach zake kumetulia sana hakuna fujo, yes nikaenda na mwanangu mmoja hivi kiukwel Pako vzur japo mji bado mdogo.

Kilichonishangaza ni kua beach tuliokua watu wachache wanawake na mabint hawakuja weng sana, mapigo Yao tight na kanga 1, nikasema niite mmoja niongee duh Yani wako very cheap Yani, kwanza maharage ya mbeya nikawaza au eneo Lile weng wamejiweka sokoni? Maana nimejaribu wanawake wa5 kuwaimbisha na wote wameingia kingi na kama ingekua kuwakamia ingewezekana hata leoleo tuu, vingine vibinti vibich kabisa Yani, ukiviambiaa nije tuogelee vinasema njoooo kaka! [emoji23][emoji23]Ukisema nguo za kuogelea huna wanakwambia wakupe kanga wao wabak na Pichu tuu duh!

Nikaingia maeneo ya stend nmeomba namba 3 za warembo wa pale nao ikawa uhakika Mimi tuu, nikaogopa sana halafu hawana gharama Yan

Kimbiji Pako vzur kweli wazee wa kunyapia utelezi kule kunawafaa ila Sasa KINGA muhimu.

Nimeshapata namba za pisi nane naanza kupanga Sasa kumchakata mmoja baada ya mwingne, na wengine wako poa tuu na ndinga wanazo
Kimbiji ni kijijini, hizo beach zilikuwa zinamilikiwa na wasukuma na wanyamwezi ambao walipelekwa huko enzi za oparesheni vijiji na Nyerere.

Majuto ni Mjukuu, wasukuma walikuwa wanabadirisha hizo plot na mashamba, wazaramo wana chukuwa beach wasukuma wanahamia mashambani, kimbiji leo ya leo beach plot ni pesa ndefu wasukuma wanajuta wazaramo wamewapiga bado.
 
Kimbiji ni kijijini, hizo beach zilikuwa zinamilikiwa na wasukuma na wanyamwezi ambao walipelekwa huko enzi za oparesheni vijiji na Nyerere.

Majuto ni Mjukuu, wasukuma walikuwa wanabadirisha hizo plot na mashamba, wazaramo wana chukuwa beach wasukuma wanahamia mashambani, kimbiji leo ya leo beach plot ni pesa ndefu wasukuma wanajuta wazaramo wamewapiga bado.
Habaro Matola.

nafikiria kununua kiwanja kwa ajili ya kuja kuishi miaka ya mbele sana (nikistaafu).

Nimeona huyu Dalali Msomi anauza plots huko Kimbiji sqm 500 kwa mil. 3.5 anasema viko 2km from Ocean.

Target yangu ni miaka ya mbeleni nihame huku Kiluvya nikaishi karibu na maeneo ya bahari.

Kati ya bagamoyo (mapinga, kerege) na Kimbiji Golani wapi unaona panafaa?
 
Habaro Matola.

nafikiria kununua kiwanja kwa ajili ya kuja kuishi miaka ya mbele sana (nikistaafu).

Nimeona huyu Dalali Msomi anauza plots huko Kimbiji sqm 500 kwa mil. 3.5 anasema viko 2km from Ocean.

Target yangu ni miaka ya mbeleni nihame huku Kiluvya nikaishi karibu na maeneo ya bahari.

Kati ya bagamoyo (mapinga, kerege) na Kimbiji Golani wapi unaona panafaa?
Hiyo bei na size hiyo unatapeliwa, at least ingekuwa million 8 labda ningeshawishika kuamini.

Na huko Mapinga ndio makao makuu ya matapeli wa viwanja, kiwanja kimoja mnauziwa watu 10 na wana mihuri yote ya serikali ya mtaa.
 
Kiukweli kwakua Leo nilikua maeneo ya kigamboni na usafiri wangu nikaona niende KIMBIJI nilisikia beach zake kumetulia sana hakuna fujo, yes nikaenda na mwanangu mmoja hivi kiukwel Pako vzur japo mji bado mdogo.

Kilichonishangaza ni kua beach tuliokua watu wachache wanawake na mabint hawakuja weng sana, mapigo Yao tight na kanga 1, nikasema niite mmoja niongee duh Yani wako very cheap Yani, kwanza maharage ya mbeya nikawaza au eneo Lile weng wamejiweka sokoni? Maana nimejaribu wanawake wa5 kuwaimbisha na wote wameingia kingi na kama ingekua kuwakamia ingewezekana hata leoleo tuu, vingine vibinti vibich kabisa Yani, ukiviambiaa nije tuogelee vinasema njoooo kaka! [emoji23][emoji23]Ukisema nguo za kuogelea huna wanakwambia wakupe kanga wao wabak na Pichu tuu duh!

Nikaingia maeneo ya stend nmeomba namba 3 za warembo wa pale nao ikawa uhakika Mimi tuu, nikaogopa sana halafu hawana gharama Yan

Kimbiji Pako vzur kweli wazee wa kunyapia utelezi kule kunawafaa ila Sasa KINGA muhimu.

Nimeshapata namba za pisi nane naanza kupanga Sasa kumchakata mmoja baada ya mwingne, na wengine wako poa tuu na ndinga wanazo
Ivi tutapata katiba mpya kweli 🤔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom