Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,911
- 21,928
Kwa hiyo wachagga si watanzania?
Kule Kenya kuna Wakikuyu na Wakenya.
Sasa sina hakika sana kama bongo kuna Wachagga na Watanzania
Kwa hiyo wachagga si watanzania?
Mtajijua na uchaga wenu na upale japo nakaa kimara ila nyie ni watu wa hovyo wabinafsi. Wakabila na wahovyo sana
Naomba kuuliza mkuu, kuwa na wachaga wengi eneo la Kimara kunaathiri/kunakwamisha vipi maendeleo ya Kimara hususani kujengwa kwa hizo barabara ?
Wewe ndo hujaelewa huu uzi kabisa. Tatizo siyo kma hakuna barabara tatizo ni hakuna barabara za lami. Tena kimara hakunaga shida ya njia kama ilivyo kigogo au mbagala kwamba mtu unapaki gari mtaa wa tatu kwa sababu vichochoro gari hazipiti, kimara hakunaga shida ya njia tatizo ni kwamba barabara huku zipo ila ni za vumbi. Hadi zipo barabara za kiwango cha tanroad mfano kimara-bonyokwa, temboni-goba n.k. Shida ni vumbiiTatizo wachaga wa kimara wabahili mno kwa ardhi.ukienda maeneo mengine watu wakinunua viwanja maebeo yasiyopimwa kila mtu anamega eneo na jirani naye anamega eneo ili wawe na barabara katikati yao .Hivyo naturally unakuta eneo halijapimwa Lakini watu walishajiwekea barabara wenyewe tayari.Hivyo inakuwa rahisi kea serikali kujenga bill kuhangaika kubomoa nyumba za watu na kulipa fidia.Ukienda maeneo ya wachaga akinunua eneo lisilopimwa Cha kwanza analipiga fence zinga la ukuta lote haachi hata sentimeta Moja ya njia hata ya mwenda kwa miguu na haongei hata na majirani ili waachiane kipande Cha barabara uswahilini hukiita kipande Cha kupitisha jeneza kuupeleka mwili wa Marehemu kwenye mazishi makaburini.Ndio maana unakuta maeneo yasiyo na wachaga wengi barabara ziko nyingi kila Kona serikali Wala haikuhusika kuzifanya ziwepo Ni wananchi wenyewe.Serikali ikija Ni kubandika lami tu Basi.Siyo kuanza kupiga hesabu barabara itapita wapi mbona kila sehemu Kuna nyumba na maeneo ya watu.nenda mbagala,gongolamboto,vingunguti,kimanzichana,nk uswahilini kabisa Lakini barabara ziko kibao na maeneo hayajapimwa
Kwani Tanzania nzima eneo linalohitaji Miundombinu ya Barabara ni Kimara tu peke yake? Kuna Watu ni Maduduna hapa Tanzania hadi mnakera na huenda kutokana na huu Ubinafsi wenu ndiyo maana mnaachwa na hampatiwi hayo Maendeleo mnayoyataka kutoka Serikalini. Badilikeni kwani bado hamjachelewa.
Naomba nikijibu PM kama hutojaliNaomba kuuliza mkuu, kuwa na wachaga wengi eneo la Kimara kunaathiri/kunakwamisha vipi maendeleo ya Kimara hususani kujengwa kwa hizo barabara ?
ni waTanzania lakini hii sio awamu yao
Kwa hio ukiwa mchaga hustahili maendeleo yanayofanywa na Serikali.?Tatizo mmejazana wachagga...kimara na mbezi utadhani umeingia moshi ndogo.
Mwananyamala ipiHv umepita mwananyamala mbona skwata zaidi na kumewekwa vilami japo vyembambaa
Tegeta wapi kuna lami?Kimara ni eneo ambalo limekua kwa kasi tangu kipindi cha Mwinyi hadi Mkapa, Kikwete na Magufuli kuliko maeneo mengine yote lakini hadi leo hakuna barabara za ndani za lami.
Ukiondoa kipande cha kutoka Baruti kwenda chuo kilichokamilika juzi, kuanzia Ubungo hadi Mbezi hakuna barabara za ndani zenye lami isipokuwa kipande kidogo cha kilomita 2 kinachotokea Kimara Temboni na kuelekea nyumbani kwa bosi wa TANROADS ndugu Mfugale.
Huyu Mfugale ambaye kasifiwa na bosi wake hadi kuzawadiwa jina la flyover ya Buguruni kwa ushujaa wa kuwanyima wana Kimara wenzie barabara na kujipendelea yeye mwenyewe. Huu ubinafsi wa mtu kujipendelea kwake kwanza kama taifa unatupeleka pabaya mtu anapongezwa badala ya kutumbuliwa.
Kimara ilianza kuchangamka kitambo kabla ya Kinyerezi, Lumo, Goba, Segerea, Tegeta lakini wenzetu wameendelea kimiundombinu kuliko Kimara ni ubishini kuliko maeneo hayo
Tofauti ni kuwa kenya wanatatizo la ukabila kwa muda mrefu. Tanzania hatuna.Kule Kenya kuna Wakikuyu na Wakenya.
Sasa sina hakika sana kama bongo kuna Wachagga na Watanzania
Tofauti ni kuwa kenya wanatatizo la ukabila kwa muda mrefu. Tanzania hatuna.
Waitara kaunga mkono lakini kivule Barbara zake kama Jehanamummezidi kuwang'ang'ania wachadema ndio maana maendeleo hakuna huko mzee.wewe jaribu siku moja kuwa converse akina kubenea na mnyika waunge mkono juhudi za mzee baba uone kama ndani ya wiki mbili kila uchochoro kama hautowekewa lami.