Kimara imeikosea nini Serikali?

Tatizo hivyo viwanja watu walijikatia wakajenga wanavyojua wao
 
Mimi nakaa Kimara Mwisho jibu nalijua kwa nn. Watu wanaosema kuna wachaga wengi wasipuuzwe wana hoja ila wanazunguka kuisema hiyo hoja. Tubadilike wana Kimara ili tuletewe maendeleo Kimara inaachwa kwa sababu ya wachaga wanaohamua baadhi ya mambo. Tujaribu hata kwa miaka mitano ili watuletee maendeleo. Sehemu kama Mbagala huko na Mbagala Kuu watu wana lami mpk milangoni jiulize Kimara tumekosa nn
 
Mtajijua na uchaga wenu na upale japo nakaa kimara ila nyie ni watu wa hovyo wabinafsi. Wakabila na wahovyo sana
Kimara ni eneo ambalo limekua kwa kasi tangu kipindi cha Mwinyi hadi Mkapa, Kikwete na Magufuli kuliko maeneo mengine yote lakini hadi leo hakuna barabara za ndani za lami.

Ukiondoa kipande cha kutoka Baruti kwenda chuo kilichokamilika juzi, kuanzia Ubungo hadi Mbezi hakuna barabara za ndani zenye lami isipokuwa kipande kidogo cha kilomita 2 kinachotokea Kimara Temboni na kuelekea nyumbani kwa bosi wa TANROADS ndugu Mfugale.

Huyu Mfugale ambaye kasifiwa na bosi wake hadi kuzawadiwa jina la flyover ya Buguruni kwa ushujaa wa kuwanyima wana Kimara wenzie barabara na kujipendelea yeye mwenyewe. Huu ubinafsi wa mtu kujipendelea kwake kwanza kama taifa unatupeleka pabaya mtu anapongezwa badala ya kutumbuliwa.

Kimara ilianza kuchangamka kitambo kabla ya Kinyerezi, Lumo, Goba, Segerea, Tegeta lakini wenzetu wameendelea kimiundombinu kuliko Kimara ni ubishini kuliko maeneo hayo
 
Kimara ni eneo ambalo limekua kwa kasi tangu kipindi cha Mwinyi hadi Mkapa, Kikwete na Magufuli kuliko maeneo mengine yote lakini hadi leo hakuna barabara za ndani za lami.

Ukiondoa kipande cha kutoka Baruti kwenda chuo kilichokamilika juzi, kuanzia Ubungo hadi Mbezi hakuna barabara za ndani zenye lami isipokuwa kipande kidogo cha kilomita 2 kinachotokea Kimara Temboni na kuelekea nyumbani kwa bosi wa TANROADS ndugu Mfugale.

Huyu Mfugale ambaye kasifiwa na bosi wake hadi kuzawadiwa jina la flyover ya Buguruni kwa ushujaa wa kuwanyima wana Kimara wenzie barabara na kujipendelea yeye mwenyewe. Huu ubinafsi wa mtu kujipendelea kwake kwanza kama taifa unatupeleka pabaya mtu anapongezwa badala ya kutumbuliwa.

Kimara ilianza kuchangamka kitambo kabla ya Kinyerezi, Lumo, Goba, Segerea, Tegeta lakini wenzetu wameendelea kimiundombinu kuliko Kimara ni ubishini kuliko maeneo hayo
mmezidi kuwang'ang'ania wachadema ndio maana maendeleo hakuna huko mzee.wewe jaribu siku moja kuwa converse akina kubenea na mnyika waunge mkono juhudi za mzee baba uone kama ndani ya wiki mbili kila uchochoro kama hautowekewa lami.
 
mmezidi kuwang'ang'ania wachadema ndio maana maendeleo hakuna huko mzee.wewe jaribu siku moja kuwa converse akina kubenea na mnyika waunge mkono juhudi za mzee baba uone kama ndani ya wiki mbili kila uchochoro kama hautowekewa lami.
Hatuwachagui ng'o ila tunajua 2020 watajipitisha wao maccm na sisi tuwaone kama watajenga izo lami wakishajipa ubunge kwa wizi
 
Kumbuka yafuatayo:-
1. Kimara-Mbezi ni squarter ie hakujapimwa na hivyo hakuna barabara iliyokidhi vigezo vya lami sawa na tegeta.
2.miundombinu haikidhi matakwa ya kuwekwa lami, maeneo mengi ni maeneo ya raia.
3.wamejaa wachaga
Tatizo wachaga wa kimara wabahili mno kwa ardhi.ukienda maeneo mengine watu wakinunua viwanja maebeo yasiyopimwa kila mtu anamega eneo na jirani naye anamega eneo ili wawe na barabara katikati yao .Hivyo naturally unakuta eneo halijapimwa Lakini watu walishajiwekea barabara wenyewe tayari.Hivyo inakuwa rahisi kea serikali kujenga bill kuhangaika kubomoa nyumba za watu na kulipa fidia.Ukienda maeneo ya wachaga akinunua eneo lisilopimwa Cha kwanza analipiga fence zinga la ukuta lote haachi hata sentimeta Moja ya njia hata ya mwenda kwa miguu na haongei hata na majirani ili waachiane kipande Cha barabara uswahilini hukiita kipande Cha kupitisha jeneza kuupeleka mwili wa Marehemu kwenye mazishi makaburini.Ndio maana unakuta maeneo yasiyo na wachaga wengi barabara ziko nyingi kila Kona serikali Wala haikuhusika kuzifanya ziwepo Ni wananchi wenyewe.Serikali ikija Ni kubandika lami tu Basi.Siyo kuanza kupiga hesabu barabara itapita wapi mbona kila sehemu Kuna nyumba na maeneo ya watu.nenda mbagala,gongolamboto,vingunguti,kimanzichana,nk uswahilini kabisa Lakini barabara ziko kibao na maeneo hayajapimwa
 
Sasa kama kumbe nia yako Kuu ilikuwa ni Kumzungumzia Injinia Mfugale kwani umezunguka sana hadi unatuchosha huku ukijifanya unawahusisha wana Kimara wote utadhani labda wote waishio Kimara huko wana Chuki na huyo Mfugale wako kama ambavyo Wewe bila Kificho unaonekana unamchukia na wala hukupenda jinsi alivyosifiwa na Boss wake.
umeona eeh.... hahhaahhah
 
Kimara ni eneo ambalo limekua kwa kasi tangu kipindi cha Mwinyi hadi Mkapa, Kikwete na Magufuli kuliko maeneo mengine yote lakini hadi leo hakuna barabara za ndani za lami.

Ukiondoa kipande cha kutoka Baruti kwenda chuo kilichokamilika juzi, kuanzia Ubungo hadi Mbezi hakuna barabara za ndani zenye lami isipokuwa kipande kidogo cha kilomita 2 kinachotokea Kimara Temboni na kuelekea nyumbani kwa bosi wa TANROADS ndugu Mfugale.

Huyu Mfugale ambaye kasifiwa na bosi wake hadi kuzawadiwa jina la flyover ya Buguruni kwa ushujaa wa kuwanyima wana Kimara wenzie barabara na kujipendelea yeye mwenyewe. Huu ubinafsi wa mtu kujipendelea kwake kwanza kama taifa unatupeleka pabaya mtu anapongezwa badala ya kutumbuliwa.

Kimara ilianza kuchangamka kitambo kabla ya Kinyerezi, Lumo, Goba, Segerea, Tegeta lakini wenzetu wameendelea kimiundombinu kuliko Kimara ni ubishini kuliko maeneo hayo

Kimara kaskazini wamejazana sana pale
 
Sasa kama kumbe nia yako Kuu ilikuwa ni Kumzungumzia Injinia Mfugale kwani umezunguka sana hadi unatuchosha huku ukijifanya unawahusisha wana Kimara wote utadhani labda wote waishio Kimara huko wana Chuki na huyo Mfugale wako kama ambavyo Wewe bila Kificho unaonekana unamchukia na wala hukupenda jinsi alivyosifiwa na Boss wake.

Daah GENTAMYCINE unatiririka kama Mzaramo wa Magomeni Usalama.

Nukta moja maneno yote hayo?
 
Kimara ni eneo ambalo limekua kwa kasi tangu kipindi cha Mwinyi hadi Mkapa, Kikwete na Magufuli kuliko maeneo mengine yote lakini hadi leo hakuna barabara za ndani za lami.

Ukiondoa kipande cha kutoka Baruti kwenda chuo kilichokamilika juzi, kuanzia Ubungo hadi Mbezi hakuna barabara za ndani zenye lami isipokuwa kipande kidogo cha kilomita 2 kinachotokea Kimara Temboni na kuelekea nyumbani kwa bosi wa TANROADS ndugu Mfugale.

Huyu Mfugale ambaye kasifiwa na bosi wake hadi kuzawadiwa jina la flyover ya Buguruni kwa ushujaa wa kuwanyima wana Kimara wenzie barabara na kujipendelea yeye mwenyewe. Huu ubinafsi wa mtu kujipendelea kwake kwanza kama taifa unatupeleka pabaya mtu anapongezwa badala ya kutumbuliwa.

Kimara ilianza kuchangamka kitambo kabla ya Kinyerezi, Lumo, Goba, Segerea, Tegeta lakini wenzetu wameendelea kimiundombinu kuliko Kimara ni ubishini kuliko maeneo hayo
Kosa kubwa mlilofanya ni kuwakaribisha " maadui wa Taifa " Wachaga
 
Tatizo mmejazana wachagga...kimara na mbezi utadhani umeingia moshi ndogo.

Jinga sana.

Kwa hiyo Wachagga kukaa pamoja ni tatizo?

Aisee! Basi kumbe ungefika Goba na Tegeta ndiyo ungechanganyikiwa kabisa.

Wachagga kukaa pamoja siyo tatizo unless otherwise una chuki binafsi tu na husda uliokithiri
 
Mimi nakaa Kimara Mwisho jibu nalijua kwa nn. Watu wanaosema kuna wachaga wengi wasipuuzwe wana hoja ila wanazunguka kuisema hiyo hoja. Tubadilike wana Kimara ili tuletewe maendeleo Kimara inaachwa kwa sababu ya wachaga wanaohamua baadhi ya mambo. Tujaribu hata kwa miaka mitano ili watuletee maendeleo. Sehemu kama Mbagala huko na Mbagala Kuu watu wana lami mpk milangoni jiulize Kimara tumekosa nn
Naomba kuuliza mkuu, kuwa na wachaga wengi eneo la Kimara kunaathiri/kunakwamisha vipi maendeleo ya Kimara hususani kujengwa kwa hizo barabara ?
 
Tatizo wachaga wa kimara wabahili mno kwa ardhi.ukienda maeneo mengine watu wakinunua viwanja maebeo yasiyopimwa kila mtu anamega eneo na jirani naye anamega eneo ili wawe na barabara katikati yao .Hivyo naturally unakuta eneo halijapimwa Lakini watu walishajiwekea barabara wenyewe tayari.Hivyo inakuwa rahisi kea serikali kujenga bill kuhangaika kubomoa nyumba za watu na kulipa fidia.Ukienda maeneo ya wachaga akinunua eneo lisilopimwa Cha kwanza analipiga fence zinga la ukuta lote haachi hata sentimeta Moja ya njia hata ya mwenda kwa miguu na haongei hata na majirani ili waachiane kipande Cha barabara uswahilini hukiita kipande Cha kupitisha jeneza kuupeleka mwili wa Marehemu kwenye mazishi makaburini.Ndio maana unakuta maeneo yasiyo na wachaga wengi barabara ziko nyingi kila Kona serikali Wala haikuhusika kuzifanya ziwepo Ni wananchi wenyewe.Serikali ikija Ni kubandika lami tu Basi.Siyo kuanza kupiga hesabu barabara itapita wapi mbona kila sehemu Kuna nyumba na maeneo ya watu.nenda mbagala,gongolamboto,vingunguti,kimanzichana,nk uswahilini kabisa Lakini barabara ziko kibao na maeneo hayajapimwa

Kimara-Mbezi kuna njia na magari yanapita makubwa kwa madogo.

Ulivyoandika ni wazi kwamba hupajui.

Barabara zipo ila ni za vumbi.

Usizungumze usiyoyajua.

Kinondoni wanakaa waswahili wa Pwani na kuna shida ya njia pia.

Wachagga siyo tatizo, ila shida hapa ni chuki na husda tu vimewajaa.

Mbona Moshi kuna barabara kila kona, na ni Wachagga?

Sijui mpoje!
 
Jinga sana.

Kwa hiyo Wachagga kukaa pamoja ni tatizo?

Aisee! Basi kumbe ungefika Goba na Tegeta ndiyo ungechanganyikiwa kabisa.

Wachagga kukaa pamoja siyo tatizo unless otherwise una chuki binafsi tu na husda uliokithiri
sina chuki na wachagga nimekaa sana na wachagga kule mkuu kota za wilayani..nimekaa kiboriloni...Chekereni na wapare wa Same kidogo,...ni watu wazuri and sina tatizo nao ila kwenye huu uzi i just gave my humble opinion which is absolutely truth kwenye hii awamu kuwa ni ya Wanyonge na ninyi wachagga sio wanyonge.
 
Back
Top Bottom