Jamal Malinzi
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 710
- 650
Wataletaje kocha aliyevunjiwa mkataba na TFF? Au ndio anakuja kutoa ushahidi dhidi ya TFF kuhusiana na fedha alizodaiwa kulipwa? Hii si mikakati ya Ndumbaru dhidi ya Malinzi? Mungu wangu!
mwangalingimungu Kocha Kim Poulsen alilipwa stahili zake,tena mbele ya viongozi wa Serikali,na alisaini hati ya kuridhika na malipo yake,everything is documented.
Last edited by a moderator: