Kilosa: Binti wa miaka nane aliyeyaanza maisha ya uyatima ingali wazazi wake bado wapo hai

Pamoja na nia yako nzuri lakini ni vizuri serikali ikaweka mipango mizuri ya kulazimisha kila mzazi kumtunza mwanae kwa lazima na akishindwa apate adhabu kali. Sasa hivi kuna visa vingi sana vya watoto wadogo kuuliwa, kubakwa na kuteswa lakini waziri na wizara husika iko kimya kama hakuna kinachotokea. Ingetakiwa waanze na kumpumzisha waziri wa wizara husika na kuweka mwingine mwenye kujali na kuchukuwa hatua. Kwenye mitandao kila siku kuna kisa kipya na hivyo ni vichache sana.
Sasa mzazi akipewa hiyo adhabu Kali atamsaidiaje huyo mtoto? Labda kucharaza viboko wazazi Kila siku ambayo hatamhudumia mtoto!

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Sasa mzazi akipewa hiyo adhabu Kali atamsaidiaje huyo mtoto? Labda kucharaza viboko wazazi Kila siku ambayo hatamhudumia mtoto!

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Analazimishwa kushiriki kwenye kazi ili azalishe chakula na fedha za matumizi ya mtoto kwa nguvu. Kuna kazi nyingi za vibarua na pia kilimo. Jingine: usifikiri wanaume au wazazi wote wanaokataa kuwatunza watoto hawana uwezo. Kuna wengi wenye biashara au kazi nzuri tu hivyo adhabu ya kulazimishwa kulipa kiasi fulani kila mwezi inaweza kuwekwa.
 
Mwambie akupe mawasiliano ya jinsi ya kumpata, maana amesema yeye ni mpita njia na haishi huko, inawezekana hata jina la eneo husika halijua, hata maelezo yake yanaonesha, maana Kilosa ni kubwa.
Upo sahihi mkuu,mimi nilipita tu hapo nikitokea kwenye safari zangu ndipo nilipokutana na mtoto huyu.
Ni Kilosa hapo karibu na kambi ya Yapi Merkezi sijajua panaitwaje hasa kwa jina lake la utambuzi.
 
Back
Top Bottom