Killing of Unarmed civilians?

Killing of Unarmed civilians?

chatts55

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
600
Reaction score
97
Si ajabu kuona mauaji yakiendelea mashariki ya Kati na jamii ya kimataifa ikiendelea kuwa kimya
IMG_20180515_065500.jpg
 
Ndio maana ya msemo kwamba "Nchi haina dini, bali watu ndio wenye dini." Ukiruhusu udini ktk utawala unakaribisha vita ya milele.
 
Huyu atakuwa wa dini ile, anawatetea wa dini yake vinginevyo na ya hapa angeliyaona... asante sana
Mbona mnahalalisha vifo vya wenzenu au kwakua nao wanamuita mungu ALLAH. Hiyo ni lugha tu. Kuna Christian Palestinians and Muslims
 
Ni dini gani hiyo, ni ya kiyahudi!?
Watu wakisema Palestinians hudhani wamesema Muslims. Wakati pia kuna wa Palestinians wapakwa mafuta wa bwana. Sijui ni bwana gani huwa wanamaanisha, anayesema watu fulani ni wateule wa mungu hata wakiwaua nyie mshangilie.
 
Back
Top Bottom