Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
View attachment 247795View attachment 247796
Lady jaydee dada yako siku zote uongo hupanda lifti na ukweli hupanda ngazi, usikate tamaaa hata kama wamedhamilia kukushusha.
Oyoooooo.Na hizi tuzo za mwaka huu ndio most awaited awards!
Njooni sasa tuanze kujiandaa kupiga kura wakati utakapofika. Mdakuzi Matola Avemaria atoto geniveros cute b Abou Saydou Athen Diva Beyonce lukelo sakafu mnyepe na Kiba fans wote.
Oyoooooo.Na hizi tuzo za mwaka huu ndio most awaited awards!
Njooni sasa tuanze kujiandaa kupiga kura wakati utakapofika. Mdakuzi Matola Avemaria atoto geniveros cute b Abou Saydou Athen Diva Beyonce lukelo sakafu mnyepe na Kiba fans wote.
So bad Yamoto band wamepata nominations mbili tu japo wametamba sana mwaka huu.
Too bad kwa Rich Mavoko pamoja na kujitahidi sana ila sijaona akipata nominations hata 1! Wimbo wa pacha wangu na video yake vilistahili hata kupata tuzo moja!
mo music hayupo upcoming artist.... ni sawa?
Yaani hata mie nimeshangaa!! Hao walotajwa hapo hataaa siwajui ndio kwanzaaa nimewackia, i neva expected mo music kukosekana hapo aiseeee!!
Yaani huyu mavoko sijui ni kitu gani yaani baasi tu
Uonevu mkubwa kwa YAMOTO BAND na RICH MAVOCO, Upendeleo mkubwa kwa JUX. Hivi Roma amehit na wimbo gani hadi kuingia kwenye mwanahiphop bora wa mwaka? Shilole kasahaulika kabisa, ingawa simpendi ila kafanya vizuri kwa upande wa wanawake.Billnas kawekwa kwenye upcoming artist halafu Mo Music kakosekana? Hivi hawa waandaaji wanapofanya nomination wanakuwa wamekunywa bangi?Nitaendelea.....
Kama namuona vile Diamond anavyonyakua tuzo sita
Hiyo tuzo naona kaandaliwa Baraka Da Prince. Ila jamaa anajitahidi hata hivyo.
Hiyo tuzo naona kaandaliwa Baraka Da Prince. Ila jamaa anajitahidi hata hivyo.
Mmmh ndio nani tena huyo? Hata cmjui kwakweli
Anawimbo wake unaitwa jichunge ucheki utube
jiulize beka tittle hapo
Mmmh ndio nani tena huyo? Hata cmjui kwakweli
Mmmh ndio nani tena huyo? Hata cmjui kwakweli
View attachment 247795View attachment 247796
Lady jaydee dada yako siku zote uongo hupanda lifti na ukweli hupanda ngazi, usikate tamaaa hata kama wamedhamilia kukushusha.