Si RPC alidai eti ni "Wanakijiji"! Kama hawa viongozi wetu wasipofuta unafiki kwa lengo la kuwapendeza wakubwa wao, hali kama hii itaendelea kujitokeza kila mara. Hili ni kundi la Answar sunni linalopata mafunzo maalum na lina silaha za moto limeamua kufanya ugaidi basi, hakuna cha kuficha hapo.