Kilimo cha zabibu Dodoma kwa ekari 2.5 naanzaje anzaje?

lui03152

JF-Expert Member
Nov 27, 2020
250
338
Wadau naombeni ushauri katika uwekezaji katika kilimo cha zabibu, nina eka 2.5 maeneo ya Bihawana- Dodoma nataka kutumbukiza mpunga nijaribu bahati yangu naombeni ushauri wa kitaalamu nijipange na shilingi ngapi kwa eka moja ya kuanzia,nilime zabibu ya aina gani ambayo inafanya vizuri sokoni na jinsi ya kupata masoko. Nipo serious sana katika hili na pia itakuwa faida kwa wengine wenye wazo kama langu. Karibuni sana.
 
Namba 1,bihawana...

Mzee ukilima zabibu soko libakufata lenyewe

Ova
 
Wadau naombeni ushauri katika uwekezaji katika kilimo cha zabibu, nina eka 2.5 maeneo ya bihawana- Dodoma nataka kutumbukiza mpunga nijaribu bahati yangu naombeni ushauri wa kitaalamu nijipange na shilingi ngapi kwa eka moja ya kuanzia,nilime zabibu ya aina gani ambayo inafanya vizuri sokoni na jinsi ya kupata masoko. Nipo serious sana katika hili na pia itakuwa faida kwa wengine wenye wazo kama langu. Karibuni sana.
Ngoja nijaribu kutoa idea labda itasaidia sema kdg nko

Kwa aina ya zabibu ziko aina mbili
Kuna ile wanalima ambayo unauza viwanda na kuna zabibu ile wanaiita ya mezani zile kubwa kubwa ambazo hata supermarket zipo na wakti mwingine zinatembezwa wanauza
Kama utalima hizi zabibu za mezani hapo inamanisha wewe utazivuna na kusifirisha kuzipel3ka sokoni

Zabibu zile za kawaida mambo ya mvinyo,viwanda wananunua hko hko

Kuhusu gharama kilimo cha zabibu
Mkuu gharama inakuja kwenye kuchimbq mashimo na mbolea
Sasa inategemea ww sjui utachimba urefu gani,kuchimba shimo kwa mstari mmja inaweza kuwa 30000 mpaka 50000 inategemea na urefu na upana wa shimo unalotaka chimba

Mche 1 wa zabibu ni 100/200
Ule mti ambao utachimbia zabib itambae mmja ni 1000
Wakati wa upandaji unaweza time wakati wa mvua au uangLie eneo kama lina maji ufanye umwagiliaji

Ila sasa kama msimu watu kazi hawana gharama za kazi znaweza pungua

Yaani kwa kifupi Eka hizo unaweza unguza zaidi ya mln 10 shehh

Sijui nmeeleweka maana

Zpo kichwan

Ova
 
Ngoja nijaribu kutoa idea labda itasaidia sema kdg nko

Kwa aina ya zabibu ziko aina mbili
Kuna ile wanalima ambayo unauza viwanda na kuna zabibu ile wanaiita ya mezani zile kubwa kubwa ambazo hata supermarket zipo na wakti mwingine zinatembezwa wanauza
Kama utalima hizi zabibu za mezani hapo inamanisha wewe utazivuna na kusifirisha kuzipel3ka sokoni

Zabibu zile za kawaida mambo ya mvinyo,viwanda wananunua hko hko

Kuhusu gharama kilimo cha zabibu
Mkuu gharama inakuja kwenye kuchimbq mashimo na mbolea
Sasa inategemea ww sjui utachimba urefu gani,kuchimba shimo kwa mstari mmja inaweza kuwa 30000 mpaka 50000 inategemea na urefu na upana wa shimo unalotaka chimba

Mche 1 wa zabibu ni 100/200
Ule mti ambao utachimbia zabib itambae mmja ni 1000
Wakati wa upandaji unaweza time wakati wa mvua au uangLie eneo kama lina maji ufanye umwagiliaji

Ila sasa kama msimu watu kazi hawana gharama za kazi znaweza pungua

Yaani kwa kifupi Eka hizo unaweza unguza zaidi ya mln 10 shehh

Sijui nmeeleweka maana

Zpo kichwan

Ova
Mtaalam nimekupata sana nashukuru kwa madini
 
Vijana wa ktz ndio tunatakiwa kuwa na mawazo na mijadala mingi ya maendeleo kama hii. Unfortunately nyuzi kama hizi hazinaga wachangiaji wengi!!
Thubutuu Nina mwaka wa 4 sasa hapa jf mada Kama hizi zenye kujenga huwez kuta wavhangaiji wengi Tena wakichangia n kejeli tupu

Ajabu Kila leo vjana wanalia ajira hakuna na hao hao ndio wanakuja kwa id tofaut tofauti za kuchakata kiwanda Cha mapenz

Jf n kipimo kizur Cha kufahamu tuna taifa la aina gani
 
Niaje mkuu huko peramiho kuna kampuni ilikuwa inaitwa sulvation farm and marketing ilikuwa inajishughurisha na kilimo biashara je bado ipo???
 
Wadau naombeni ushauri katika uwekezaji katika kilimo cha zabibu, nina eka 2.5 maeneo ya Bihawana- Dodoma nataka kutumbukiza mpunga nijaribu bahati yangu naombeni ushauri wa kitaalamu nijipange na shilingi ngapi kwa eka moja ya kuanzia,nilime zabibu ya aina gani ambayo inafanya vizuri sokoni na jinsi ya kupata masoko. Nipo serious sana katika hili na pia itakuwa faida kwa wengine wenye wazo kama langu. Karibuni sana.
Mshana Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom