Kilimo cha umwagiliaji kwa solar

Zacht

JF-Expert Member
Jul 17, 2020
1,009
2,197
Habari zenu wakuu,

Binafsi kilomo kwangu kipo damuni hio inatokana kwanza Mimi ni mzaliwa wa morogoro lakini kubwa zaidi ni mtoto wa mkulima lakini hio haijanifanya kuwa mkulima Bora.

So nipo mbele yenu wakuu naomba msaada wa kimawazo, kule kwetu moro tunalima mazao mengi Sana ya umwagiliaji pia Yale ya kutegemea mvua, lakini Yale ya kusubiri mvua hayafanyi vizuri Sana sababu mvua zenyewe za kungoja afu zikinyesha zinatoa vumbi tu

Lakini Kuna wazo hapo limenijia la kulima kwa kumwagilia maji lakini kutumia water pump za solar, maana Morogoro ukiachana rutuba na Hali ya hewa rafiki kwa mazo mengi lakini pia maji yapo ya kutosha, but kuna baadhi ya maeneo yapo mbali ya vyanzo maji(mito) plus miundombinu mibovu sasa inafanya kutokuwa na tofauti anaefanya umwgiliaji na anayesubiri mvua.

Wazo badala ya kusubiri mvua na kutegemea maji ya mgao ni kwamba nichimbe kisima then na install solar na water pump yake.

Mazao ni liyopanga kulima ni strawberry, mpunga na mboga mboga ambayo ukitegema mvua na maji ya mgao utaona kilomo kigumu.

Naomba ushuri na msaada wa kujua mtaji kiasi gani unhitajika kuchimba kisima kwa ajili irrigation

Asante!
 
Kuna watu wanaitwa 'Simu solar' (google them) nliwah kuwaulizia umwagiliaj kwa njia ya solar offcourse kuna gharama. Mbali na kutaka kuchimba kisima tutoke nje ya boksi kidogo... vp badala ya kuchimba kisoma tukaamua kuvuna maji ua mvua ambayo ni bure na mbadala wa solar tukatumia ng'ombe wa maksai km sorce of energy kusukuma mashine ya pamp!.
 
Habari zenu wakuu,

Binafsi kilomo kwangu kipo damuni hio inatokana kwanza Mimi ni mzaliwa wa morogoro lakini kubwa zaidi ni mtoto wa mkulima lakini hio haijanifanya kuwa mkulima Bora.

So nipo mbele yenu wakuu naomba msaada wa kimawazo, kule kwetu moro tunalima mazao mengi Sana ya umwagiliaji pia Yale ya kutegemea mvua, lakini Yale ya kusubiri mvua hayafanyi vizuri Sana sababu mvua zenyewe za kungoja afu zikinyesha zinatoa vumbi tu

Lakini Kuna wazo hapo limenijia la kulima kwa kumwagilia maji lakini kutumia water pump za solar, maana Morogoro ukiachana rutuba na Hali ya hewa rafiki kwa mazo mengi lakini pia maji yapo ya kutosha, but kuna baadhi ya maeneo yapo mbali ya vyanzo maji(mito) plus miundombinu mibovu sasa inafanya kutokuwa na tofauti anaefanya umwgiliaji na anayesubiri mvua.

Wazo badala ya kusubiri mvua na kutegemea maji ya mgao ni kwamba nichimbe kisima then na install solar na water pump yake.

Mazao ni liyopanga kulima ni strawberry, mpunga na mboga mboga ambayo ukitegema mvua na maji ya mgao utaona kilomo kigumu.

Naomba ushuri na msaada wa kujua mtaji kiasi gani unhitajika kuchimba kisima kwa ajili irrigation

Asante!
Mkuu mchakato wa kuchimba kisima ni mrefu kidogo ila kwa uzoefu wangu nitakujibu kwa kifupi tu kwamba kama unataka kuchimba kisima morogoro kwa matumizi ya solar pump itakupasa uchimbe kisima kisichozidi mita 50 , ambapo inaweza kukugharimu takribani 6 M na pampu ya solar aina ya Lorenz itakugharimu 3.8 M ,
Hapa kwa maana kwa miundo mbinu ya kisima tu ampaka ikamilike uwe na 10 M.
Ila ungeweza kutafuta chanzo kingine cha maji mafano ziwa, mito, n.k ili uweze kuweka solar pump tu, utapunguza gharama.
Nafikili umenielewa...
 
Kuna watu wanaitwa 'Simu solar' (google them) nliwah kuwaulizia umwagiliaj kwa njia ya solar offcourse kuna gharama. Mbali na kutaka kuchimba kisima tutoke nje ya boksi kidogo... vp badala ya kuchimba kisoma tukaamua kuvuna maji ua mvua ambayo ni bure na mbadala wa solar tukatumia ng'ombe wa maksai km sorce of energy kusukuma mashine ya pamp!.
Thanks! Tatizo mvua zenyewe nazo ni za mashaka
 
Mkuu mchakato wa kuchimba kisima ni mrefu kidogo ila kwa uzoefu wangu nitakujibu kwa kifupi tu kwamba kama unataka kuchimba kisima morogoro kwa matumizi ya solar pump itakupasa uchimbe kisima kisichozidi mita 50 , ambapo inaweza kukugharimu takribani 6 M na pampu ya solar aina ya Lorenz itakugharimu 3.8 M ,
Hapa kwa maana kwa miundo mbinu ya kisima tu ampaka ikamilike uwe na 10 M.
Ila ungeweza kutafuta chanzo kingine cha maji mafano ziwa, mito, n.k ili uweze kuweka solar pump tu, utapunguza gharama.
Nafikili umenielewa...
Duh! Nilidhani litakuwa jambo dogo maana Kuna vile visima vya kupump kwa mkono sasa nikawaza labda ni swala kubadirisha tu mfumo wa kupump maji manual to solar pump.
 
Thanks! Tatizo mvua zenyewe nazo ni za mashaka
Mkuu tumia elimu yako kusolve tatizo hili, vijijini kuna watu matajili lakini bado hawana taarifa juu ya mambo mengi sana , ukiweza anza kumobilize wakulima kadhaa unaowafahamu juuu ya umuhimu wa kisima na umeme wa solar, unaweza kupata kikundi kikubwa mkachanga peza mkachimba kisima na kuweka kila mtu tank lake kwenye shamba lake,,
 
Duh! Nilidhani litakuwa jambo dogo maana Kuna vile visima vya kupump kwa mkono sasa nikawaza labda ni swala kubadirisha tu mfumo wa kupump maji manual to solar pump.
Kama cha mkono kipo ni sawa haina shida ,hiyo inatoka tu unabadilisha mkuu ,
 
Mkuu mchakato wa kuchimba kisima ni mrefu kidogo ila kwa uzoefu wangu nitakujibu kwa kifupi tu kwamba kama unataka kuchimba kisima morogoro kwa matumizi ya solar pump itakupasa uchimbe kisima kisichozidi mita 50 , ambapo inaweza kukugharimu takribani 6 M na pampu ya solar aina ya Lorenz itakugharimu 3.8 M ,
Hapa kwa maana kwa miundo mbinu ya kisima tu ampaka ikamilike uwe na 10 M.
Ila ungeweza kutafuta chanzo kingine cha maji mafano ziwa, mito, n.k ili uweze kuweka solar pump tu, utapunguza gharama.
Nafikili umenielewa...
Au Kuna utaalamu wa kubadili mfumo wa kupump maji kutoka manual to solar pump,kama unafahamu nijuze mkuu

Maana Huku kilombero ,ifakara huko Kuna kampuni inaitwa msabi wanachimba visima vya kupump kwa mikono sasa nimewaza wanichimbie then nitafute hio water pump.

Bei Yao ndogo haizi 400k
 
Au Kuna utaalamu wa kubadili mfumo wa kupump maji kutoka manual to solar pump,kama unafahamu nijuze mkuu

Maana Huku kilombero ,ifakara huko Kuna kampuni inaitwa msabi wanachimba visima vya kupump kwa mikono sasa nimewaza wanichimbie then nitafute hio water pump.

Bei Yao ndogo haizi 400kh
Sikiliza hiyo ni simple sana, wambie hiyo kampuni kuwa unataka kisima bila pump so wao watachimba kisima na kukiflash kisha mimi nitakuuzia pump na kuifunga.
So wakupe hizo gharama za kuchimba kisima bila pump then share nasi hapa..
Wakulima morogoro wapo wengi wanahitaji visima ila taarifa za hao Msabi Company hawana..
 
Sikiliza hiyo ni simple sana, wambie hiyo kampuni kuwa unataka kisima bila pump so wao watachimba kisima na kukiflash kisha mimi nitakuuzia pump na kuifunga.
So wakupe hizo gharama za kuchimba kisima bila pump then share nasi hapa..
Wakulima morogoro wapo wengi wanahitaji visima ila taarifa za hao Msabi Company hawana..
Poa mkuu nitafanyia kazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom