Kilimo cha Tikiti (Kukatia mashina/matunda)

Kilimo cha Tikiti (Kukatia mashina/matunda)

ASHA NGEDELE

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
784
Reaction score
327
Habarini wadau,

Naombeni utalaamu kidogo kwenye suala zima la kilimo cha tikiti. Huwa inashauriwa sana pindi matunda yanapotoka kuacha matunda matatu tu ili yaweze kua makubwa na yauzike vizuri sokoni.

Swali langu na msaada ninaotaka ama kuomba ni jinsi gani ya kubakisha hayo matunda matatu

Je
1. Linakatwa tunda linalozidi na linakatwa wakati gani wa ukuaji wa matunda?

2. Linakatwa shina baada tu ya tunda lako la mwisho na linakatwa vipi na wakati gani ili kutoathiri ukuaji wa mmea?

3. Kama linakatwa shina ili matunda yapate chakula yanakatwa mashina yenye matunda au hata mashina ambayo hayana matunda?

Pia ningependa kujua mmea mmoja wa tikiti unahitaji maji lita ngapi kwa siku.

Nitashukuru nipate hii elimu.
 

ASHA NGEDELE


salaamu ndugu, nimekuapta, naomba nichangie kwa mujibu wa uzoefu nilio nao


Je
1. Linakatwa tunda linalozidi na linakatwa wakati gani wa ukuaji wa matunda? i. Ni vyema sana kama endepo matunda yanayoachwa hayo 2-3 yawe katika shina mama, kwa kuwa yatapata chakula direct kutoka shina mama, lakini kwa kuwa shina mama hutengeneza matawi na kuna wakati matawi pia huwa na matunda, ni vyema kuchunguza kwa makini matunda yalipo (Shina mama/tawi) kabla ya kukata. ii. Muda mzuri wa kukata ni mapema tu unapokuwa umejiridhisha kuwa hili ni tunda, coz kuna maua ya dume na jike, tunda ni lile unakuta juu kuna ua na chini kuna kitunda kidogo, hivyo lile lililo ua tu, hilo ni la kiume ni la kutoa

2. Linakatwa shina baada tu ya tunda lako la mwisho na linakatwa vipi na wakati gani ili kutoathiri ukuaji wa mmea?
=Linakatwa mapema tu baada ya tunda kuwa limejitengeneza hata likiwa saizi ya gololi unahesabu matunda matatu kutoka kwa kamba husika, kama unakuta matunda hayo matatu yanakuwa katika shina mama inakuwa vizuri zaidi, kata hizi kamba za pemebeni ili zisitengeneze maua/matunda ili chakula kibaki kutumika katika maina shina. Kisha una vunja kule mbele ili kusiendelee kutambaa zaidi na kutoa matunda, unavunja kama unavyochuma majani ya maboga etc

3. Kama linakatwa shina ili matunda yapate chakula yanakatwa mashina yenye matunda au hata mashina ambayo hayana matunda?=Kikubwa hesabu hayao matunda matatau yanapatikana kwanza?, kisha kata hizo kamba zinazoendelea mbele baada ya matunda na hata kamba za pembeni , coz hizo kamba za pembeni zitakuwa zinakula chakula cha bure, matunda yanayozaliwa pembeni mwa kamba (pembeni mwa shina mama)mara nyingi huwa hayawi makubwa, coz chakula hakiji kingi kwa hayo matawi ya pembeni.

Pia ningependa kujua mmea mmoja wa tikiti unahitaji maji lita ngapi kwa siku,

= Angalau lita 1 kwa siku kwa mche, wastani wa 10,000 lita kwa eka kwa siku
=====

Habarini wadau,

Naombeni utalaamu kidogo kwenye suala zima la kilimo cha tikiti. Huwa inashauriwa sana pindi matunda yanapotoka kuacha matunda matatu tu ili yaweze kua makubwa na yauzike vizuri sokoni.

Swali langu na msaada ninaotaka ama kuomba ni jinsi gani ya kubakisha hayo matunda matatu

Je
1. Linakatwa tunda linalozidi na linakatwa wakati gani wa ukuaji wa matunda?

2. Linakatwa shina baada tu ya tunda lako la mwisho na linakatwa vipi na wakati gani ili kutoathiri ukuaji wa mmea?

3. Kama linakatwa shina ili matunda yapate chakula yanakatwa mashina yenye matunda au hata mashina ambayo hayana matunda?

Pia ningependa kujua mmea mmoja wa tikiti unahitaji maji lita ngapi kwa siku.

Nitashukuru nipate hii elimu.
 
ASHA NGEDELE

salaamu ndugu, nimekuapta, naomba nichangie kwa mujibu wa uzoefu nilio nao


Je
1. Linakatwa tunda linalozidi na linakatwa wakati gani wa ukuaji wa matunda? i. Ni vyema sana kama endepo matunda yanayoachwa hayo 2-3 yawe katika shina mama, kwa kuwa yatapata chakula direct kutoka shina mama, lakini kwa kuwa shina mama hutengeneza matawi na kuna wakati matawi pia huwa na matunda, ni vyema kuchunguza kwa makini matunda yalipo (Shina mama/tawi) kabla ya kukata. ii. Muda mzuri wa kukata ni mapema tu unapokuwa umejiridhisha kuwa hili ni tunda, coz kuna maua ya dume na jike, tunda ni lile unakuta juu kuna ua na chini kuna kitunda kidogo, hivyo lile lililo ua tu, hilo ni la kiume ni la kutoa

2. Linakatwa shina baada tu ya tunda lako la mwisho na linakatwa vipi na wakati gani ili kutoathiri ukuaji wa mmea?
=Linakatwa mapema tu baada ya tunda kuwa limejitengeneza hata likiwa saizi ya gololi unahesabu matunda matatu kutoka kwa kamba husika, kama unakuta matunda hayo matatu yanakuwa katika shina mama inakuwa vizuri zaidi, kata hizi kamba za pemebeni ili zisitengeneze maua/matunda ili chakula kibaki kutumika katika maina shina. Kisha una vunja kule mbele ili kusiendelee kutambaa zaidi na kutoa matunda, unavunja kama unavyochuma majani ya maboga etc

3. Kama linakatwa shina ili matunda yapate chakula yanakatwa mashina yenye matunda au hata mashina ambayo hayana matunda?=Kikubwa hesabu hayao matunda matatau yanapatikana kwanza?, kisha kata hizo kamba zinazoendelea mbele baada ya matunda na hata kamba za pembeni , coz hizo kamba za pembeni zitakuwa zinakula chakula cha bure, matunda yanayozaliwa pembeni mwa kamba (pembeni mwa shina mama)mara nyingi huwa hayawi makubwa, coz chakula hakiji kingi kwa hayo matawi ya pembeni.

Pia ningependa kujua mmea mmoja wa tikiti unahitaji maji lita ngapi kwa siku,

= Angalau lita 1 kwa siku kwa mche, wastani wa 10,000 lita kwa eka kwa siku
=====
ASANTE SANA MKUU MAANA HII ELIMU YA UKATIAJI MASHINA SIJAWAHI KUIPATA KWAHIO NASHUKURU SANA. KWAHIO HII INA MAANISHA YALE MATUNDA MAKUBWA YOTE NAYOYAONA KARIAKOO YANAUZWA MPAKA ELFU 8 WAKULIMA NDIO WANAPITIA NJIA HII..

JE, KUNA LOLOTE LA KUZINGATIA WAKATI UNAKATA HILO SHINA ILI KUTOATHIRI UKUAJI WA SHINA/MMEA AU UKISHAKATA TU BASI MMEA UNAENDELEA KUKUA SEHEMU ILOBAKI. KUNA SEHEMU NLISOMA WANASEMA UKISHAKATA SHINA LINAKUA NA UWEZEKANO MKUBWA SANA KUPATA MAGONJWA KWENYE ILE SEHEMU ILOKATWA.

JE, NI SAWA KUKATA KUTUMIA MKASI?
 
Sio wakulima wote wanapitia hiyo njia, wengine huwa wahajishughulishi na hilo jambo kabisa, huridhika na kupata tikiti moja kubwa kwa shina na vingine 2-4 vidogo less than 5 kgs, hivo kila mtu ana preference yake ya kukata au kuacha, ILA ni heri kuwa na matunda machache kwa shina but yaliyo mkaubwa kilo 8-12. Pale ulipokata ni kweli Magonjwa yanaweza kutokea hasa kutegemea vifaa unavyotumia kama vina contamination za bakteria na fangasi. Kama utatumia mkasi ni vyema kuusterilize katika spiriti kila unapokata kabla ya kuutumia katika shina/mche mwingine, lakini njia rahisi, ni usinyofoe pale kwenye shina (base) la kikonyo sogea mbele kidogo kama sentimita 2 hivi minya hapo kwa mikono (vidole viwili), au kutumia huo mkasi, with time coz chakula hakitaenda kule mbele basi kale ka kipande kalikobaki (ka urefu wa sentimita 1-2) huoza na kudondoka kenyewe.

, hasa za bakteria
ASANTE SANA MKUU MAANA HII ELIMU YA UKATIAJI MASHINA SIJAWAHI KUIPATA KWAHIO NASHUKURU SANA. KWAHIO HII INA MAANISHA YALE MATUNDA MAKUBWA YOTE NAYOYAONA KARIAKOO YANAUZWA MPAKA ELFU 8 WAKULIMA NDIO WANAPITIA NJIA HII..

JE, KUNA LOLOTE LA KUZINGATIA WAKATI UNAKATA HILO SHINA ILI KUTOATHIRI UKUAJI WA SHINA/MMEA AU UKISHAKATA TU BASI MMEA UNAENDELEA KUKUA SEHEMU ILOBAKI. KUNA SEHEMU NLISOMA WANASEMA UKISHAKATA SHINA LINAKUA NA UWEZEKANO MKUBWA SANA KUPATA MAGONJWA KWENYE ILE SEHEMU ILOKATWA.

JE, NI SAWA KUKATA KUTUMIA MKASI?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom