amayabhu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 497
- 709
Tumoghile, kinoghile fiyoNdi nkafu nkamu mumoghile ikyaka
Tumoghile, kinoghile fiyoNdi nkafu nkamu mumoghile ikyaka
Mma po kanunu kikolo,Tumoghile, kinoghile fiyo
huku kwe2 arusha kuna baadhi ya maeneo kuna miti hiyo...hata maskan kuna huo mti na vi2nda vyake vina ladha kama ya nazi.....watoto wengi wanazipenda kwel
Ndio zenyewe mkuuHebu nisaidie hapo, hizi ni macadamia nuts au
mshana jr huu ndio mzaituni pori wa Africa
Mkuu nilishikwa na hili zao nikilitoa Kny kupeleka Tng nilionyeshwa rangi zote
Ipo tena ming sana wilayan rungwe kuna mzungu analima aise na naskia zikibanguliwa zinasindikizwa na gari nyuma almaarufu escort aiseMchina kafanya yake
Kangi tukumpyalisya yu ugwa kumwanyaMma po kanunu kikolo,
Sie tulkua tunaita vinazi umenkumbusha tengeruuu(taasisi flan Iv ya kilimo tulkua tnaenda kuiba kwenye shamba lao
Ili tunda lilkua maaruf sana kwa watt wa tengeru primary
Yup nmekulia liti tengeru &u?Ahaa mkuu umekaa tengeru?
Hahahaha nyie wadada wa DarMapera?
Hahahahaha sio mkuuHizo sio zile mbegu za kuflash tumbo kweli?
Ni nini hiyoHahahaha nyie wadada wa Dar
Yaa, mkuu kuna sehemu flan tukuyu, enzi za utoto tumechezea saana haya makaranga asee...hahaha sisi kwetu tunaita mkaranga,hao ni karanga tukuwa tunacheza utotoni,na tunaenda kununua kwa watu ambao wna miti kam si kwenda kuiba au kuokota mvua zikinyesha.ni tamu san kuzila aseee