Sisi ni wabaguzi sana.🤣🤣Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land 🙏
Hii ni namna ya kuheshimishana tu humu JF. Nia siyo kukupa nafasi ya Muumba. Hata hivyo Kuna mkuu wa nchi, mkuu wa majeshi, mkuu wa familia.Haya sema, unachotaka kukielewa ni nini?
Mimi siyo "mkuu", Mkuu ni mmoja tu, Muumba mbingu na Ardhi.
Pamoja bossAsante sana naona anamakengeza
Viliishia wapi ? Mkapa SI aliviuza vyote au umesahau kiongozi KUWA viwanda vingi na mashirika ya umma viliuzwa kipindi cha. Ben?Nimemshangaa aliposema serikali itawajengea wakulima viwanda vya kubangua korosho. Hivi haelewi kuwa viwanda vya korosho vilikuwepo Tena vikubwa, Kama angekuwa na akili angefatilia viwanda viliishia wapi.
Ndio maana nimemshangaa labda angesema anafufua kwa sababu viwanda vilikuwepo, wakauza waliouziwa wakang'oa mashine wakapeleka India.Viliishia wapi ? Mkapa SI aliviuza vyote au umesahau kiongozi KUWA viwanda vingi na mashirika ya umma viliuzwa kipindi cha. Ben?
Nimekuelewa sana mkuu.Wewe kaka huna akili, akili Yako imejaa chuki na ujuajinki kipumbavu, kwani wewe hujui kwamba kina mkorosho huwa una quantity yake ya kunyunyuzia viatilifu? Na hujui kuwa serikali inatoa ruzuku kwenye pembejeo za mikorosho? Sasa wata project vipi mahitaji ya hizo pembejeo bila kusajili mkulima na idadi ya mikorosho anayoimiliki, sisi wakulima wa korosho tunajua Hilo na hatujaanza Leo, kila mwaka tunahuisha maana mikorosho inapandwa mipya na mingine umri unaongezeka. Mkorosho wa miaka mitatu hauwezi kuhitaji pembejeo sawa na mkorosho wa miaka kumi. Na mwenye mikorosho 100 hawezi kuhitaji pembejeo sawa na mwenye mikorosho 700
Nchi hii haina Serikali. Baraza bovu la mawaziri na Rais wa hovyo. It is a rubbish government. Ni matope.Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?
Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?
Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?
Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Mawaziri wa kilimo wa zamani walikuwa wanakaa tu maofisini na kushirikiana na walanguzi lakini bashe muda wote Yuko siteNi waziri wa hovyo haijawahi kupata wizara ya kilimo tangu Tanganyika ipate uhuru.
Warudishe wangoni South Africa kwanza🤣🤣Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land 🙏
Ungeuliza rationale yake badala ya kuvurumisha negativityMimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?
Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?
Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?
Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Ubaguzi🤣🤣Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land 🙏
Tatizo wa kabila lako wakiteuliwa kuwa Mawaziri hawana jipya🤣🤣Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land 🙏
Hakuna mtu anayechagua azaliwe wapi, jinsia yake ,kabila lake au nchi (labda atafute uraia wa kuandikishwa).🤣🤣Hivi Somalia Kuna mikorosho?
Aanze kuwasaidia ndugu zake wanaokimbia njaa Somalia daily,wakienda south Africa kuomba hifadhi ya ukimbizi
Ndo aje aongelee kilimo Cha Tanzania,the mother Land 🙏
Kama umewahi kufanya kazi kwenye Agricultural sector ni rahisi kuelewa hoja ya Bashe ilipo.Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?
Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?
Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?
Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Kama wakulima wote wakisajiliwa na idadi sahihi ya miti waliyonayo why not...ni hesabu nyepesi tu ya kujumlisha!Wewe unaona inawezekana?
Juzi nikiona Clip yake anaimba ....Achani enjoy ,maisha yenyewe mafupi,Heri ni.......!Mimi Bado simuelewi kabisa Hussein, anasema wakulima wa korosho waanze kuisajili mikorosho Yao ili iwe Nini?
Anajishughulisha na vitu vingi visivyokuwa na tija kabisa! Kusajili mikorosho kutaleta nafuu Gani kwa mkulima?
Hilo ndio hitaji la wakulima wa korosho? Itasaidia Nini kwa wakulima au itaongeza tija Gani?
Anachakarika na vitu vya ajabu ajabu wakati kuna mambo chungu nzima ya kimkakati hayajafanyiwa kazi, kwakweli nimechoka na porojo nyingi za hussein.
Wameshindwa nini?
Ngombe sasa hivi wana mpaka gesti zao.
Wewe unakijua kilimo? Au ndio machampeee wa jamia forum. Mtu anaweza kuwa anakoment hapa hajawah hata kupanda mchai chai kwenye dumu kwaoMsomali na kilimo wapi na wapi,huyo muulize habari za uvuvi na mirungi huko kwengine anajikuta amedondokea tu kupewa shavu