The Wolf
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,309
- 20,329
Kwanza kabisa niseme sooner or later bangi itakuwa legal duniani kote, kama taifa tujitafakari tuwe wa kwanza Africa ku legalize zao hili kibiashara, jimbo moja la marekani limevuna zaidi ya usd 1 billion kama kodi itokanayo na biashara tuvune faida yake mapema