Kilimo biashara ni muhimu

Kilimo biashara ni muhimu

Mhina Martin

Senior Member
Joined
Apr 3, 2017
Posts
197
Reaction score
256
Habari Ndg naomba kwa wadhoefu wa field msaada mchanganuo wa gharama kwa ekari moja wa mazao yafuatayo tafadhali nipate mwanga

1. Nyanya ekari moja

2.Vitunguu vya kawaida ekari moja

3.Hoho ekari Moja

4.Kabage ekari Moja
 
Habari Ndg naomba kwa wadhoefu wa field msaada mchanganuo wa gharama kwa ekari moja wa mazao yafuatayo tafadhali nipate mwanga

1. Nyanya ekari moja

2.Vitunguu vya kawaida ekari moja

3.Hoho ekari Moja

4.Kabage ekari Moja
Kwangu mimi bidhaa pekee nilitumia m3 nje na wafanyakazi hii ni heka moja ya nyanya.

Mbegu hybrd wastan wa 400k
mifuko kunzia 8 ya mbolea (inategemea unanunua ya ruzuku ama kawaida) 640
madawa yote ni 600k
Mafuta petrol kwa ajiri ya pikpiki na pump hadi mavuno 370k
miti na kamba 330k
Pump,pipe na koromeo 6200k

hapo itakuja kama 2,960,000/=

Kazi kwako mkurungwa.

Vitunguu niliangikia pua vilevile na cabbage
 
Kwangu mimi bidhaa pekee nilitumia m3 nje na wafanyakazi hii ni heka moja ya nyanya.

Mbegu hybrd wastan wa 400k
mifuko kunzia 8 ya mbolea (inategemea unanunua ya ruzuku ama kawaida) 640
madawa yote ni 600k
Mafuta petrol kwa ajiri ya pikpiki na pump hadi mavuno 370k
miti na kamba 330k
Pump,pipe na koromeo 6200k

hapo itakuja kama 2,960,000/=

Kazi kwako mkurungwa.

Vitunguu niliangikia pua vilevile na cabbage
Ahsante Ndg Mungu akubariki kwa mchanuo mzuri nimepata mwanga
 
Kwangu mimi bidhaa pekee nilitumia m3 nje na wafanyakazi hii ni heka moja ya nyanya.

Mbegu hybrd wastan wa 400k
mifuko kunzia 8 ya mbolea (inategemea unanunua ya ruzuku ama kawaida) 640
madawa yote ni 600k
Mafuta petrol kwa ajiri ya pikpiki na pump hadi mavuno 370k
miti na kamba 330k
Pump,pipe na koromeo 6200k

hapo itakuja kama 2,960,000/=

Kazi kwako mkurungwa.

Vitunguu niliangikia pua vilevile na cabbage
Nini kilikutokea kwenye vitunguu?
 
Kwangu mimi bidhaa pekee nilitumia m3 nje na wafanyakazi hii ni heka moja ya nyanya.

Mbegu hybrd wastan wa 400k
mifuko kunzia 8 ya mbolea (inategemea unanunua ya ruzuku ama kawaida) 640
madawa yote ni 600k
Mafuta petrol kwa ajiri ya pikpiki na pump hadi mavuno 370k
miti na kamba 330k
Pump,pipe na koromeo 6200k

hapo itakuja kama 2,960,000/=

Kazi kwako mkurungwa.

Vitunguu niliangikia pua vilevile na cabbage
Safi
 
Back
Top Bottom