Kilimanjaro wamuhadaa Rais Magufuli Mei Mosi 2017

Vugu-Vugu

JF-Expert Member
Feb 24, 2017
1,381
1,593
Wanajamii amani iwe kwenu!
Katika hali isiyo ya kawaida jana nilimshuhudia Raisi wa Tanzania Dk John Joseph Pombe Magufuli
akiwa na furaha iliyopitiliza, Akiongea kwa bashasha na kujiamini Raisi Magufuli anasema hajawahi kuona umati mkubwa wa watu kama ule uliokuwapo kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjoro, Mkoa mbao wakati tunapata Uhuru ulikuwa na watu 300,000 tu

Itakumbukwa kuwa mkoa wa K`njaro unawakazi takribani mil 1.6 huku ukiwa na shule za sekondari zaidi 279, Ukifuatiwa na mkoa wa Dar-es salaam wenye watu mil 5 ukiwa na shule za sekondari 230 pekee na kisha mkoa wa Mwanza wenye watu 2.7 huku kukiwa kuna shule za sekondary 218 achilia mbali Mbeya kabla ya kuwanywa iliyokuwa na shule za sekondari 270.

Kama ilivyokawaida ya wanasiasa wote duniani kote hupenda sana kuongea/kuhutubia watu wengi na hicho wao hukiona kama kipimo cha kukubalika kwao."all politician are adicted to mass cogregations" yaani wanasiasa wote wana-uraibu wa kupenda kuhutubia watu wengi eg Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Aikael Mbowe huyu bwana yuko radhi akodi hata Helkopta ili tu akusanye watu wengi wa kumsikiliza bili kujali mass quality wao huangalia Mass quantity tu na ndio faraja yao.

Jambo hili limemtokea jana Raisi wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh Dk John Joseph Pombe Magufuli katika viwanja vya chuo cha biashara Ushirika Moshi (MoCU) baada ya watu kwenda kumpokea kwa lazima kwa mujibu wa sheria na kanuni za uendeshaji wa serikari,Watu hawa hawakuja wote kwa mapenzi yao.

Kama tunashule za sekondari 279 na kila shule ikaleta wastani wa watu 50 tu, Basi jana tulikuwa na wadau toka shule za sekondari 13,950 bila kuhesabu shule za msingi ambazo ni zaidi ya 500,Nyuma ya viwanja vya ushirika kipo chuo cha Biashara cha Ushirika ( MoCU) chenye wanafunzi zaidi 1,000 nao walikuwepo kwa lazima, Ukivuka barabara ni chuo cha cha polisi CCP nao walikuwepo kwa lazima, Juu kidogo chuo cha KCMC nao walikuwepo kwa lazima, Mbele kidogo ni chuo cha Mwenge University collage nao walikuwepo kwa lazima.

Uongozi wa mkoa wa Kilimanjoro nawapongeza kwa kumuhadaa mwanasiasa huyu mwenye adiction ya mass quantity badala ya mass quality,Siamini wala sioni kama ni busara Raisi wa inchi nzima kujisifia mkusanyiko wa watu wether ni wengi au wachache Raisi anapashwa kujikita kwenye Maendeleo tu. Waje 20 waje 20,000 wewe fanya kwa kadiri unavyoweza usichanganwe na wingi au uchache wa watu, Ipo siku utaenda mahali utakosa watu utakasirika Raisi wangu, Huu si muda wa kampeni hata kama uko kwenye kampeni mbona unapambana na usiyemjua?

Hongera sana wanafunzi wote wa mkoa wa K` njaro kwa kumpatia Mh Rais furaha ya Moyo wake ila ninyi wafanyakazi na wananchi wa Moshi Mungu anawaona.
Mwafwaaaaaaaaaaaaaaa.

Msemakweli Mpenzi wa Mungu
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania.
 
Melezo marefu lakini ni pumba tupu (crap).

Nina uhakika kama angekuta watu 100 ndani ya uwanja ungekuja hapa na kuanza kusema ''wana Moshi wamesusia/wamemkataa Rais Magufuli.

Achilia mbali ya kwenye uwanja wa chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, Hao watu waliokuwa wamejipanga barabarani kumpokea kutokea uwanja wa ndege mpaka Ikulu ndogo uliwaleta wewe?

Unajaribu kupambana na ukweli!

Ukweli ni kwamba, the man is popular and well respected.

The sooner the better, You have to man up, face the reality and get on with it.

Usipumbazwe na siasa za kwenye mitandao. Kumbuka siasa za kwenye mitandao ni tofauti na hali halisi kwenye ground zero. Hii ni sawa na kusikia kelele za mtu mmoja katika kijiji fulani wakati ukipita njiani halafu baadaye unatoa angalizo (conclusion) kuwa wanakijiji wa kijiji fulani ni wapiga kelele.

Wengi wanaomkubali na kumuheshimu Rais Magufuli hawapigi kelele lakini wamekuonyesha kwa vitendo barabarani na uwanjani wakati wa mapokezi yake.
 
Wanajamii amani iwe kwenu!
Katika hali isiyo ya kawaida jana nilimshuhudia Raisi wa Tanzania Dk John Joseph Pombe Magufuli
akiwa na furaha iliyopitiliza, Akiongea kwa bashasha na kujiamini Raisi Magufuli anasema hajawahi kuona umati mkubwa wa watu kama ule uliokuwapo kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjoro, Mkoa mbao wakati tunapata Uhuru ulikuwa na watu 300,000 tu

Itakumbukwa kuwa mkoa wa K`njaro unawakazi takribani mil 1.6 huku ukiwa na shule za sekondari zaidi 279, Ukifuatiwa na mkoa wa Dar-es salaam wenye watu mil 5 ukiwa na shule za sekondari 230 pekee na kisha mkoa wa Mwanza wenye watu 2.7 huku kukiwa kuna shule za sekondary 218 achilia mbali Mbeya kabla ya kuwanywa iliyokuwa na shule za sekondari 270.

Kama ilivyokawaida ya wanasiasa wote duniani hupenda sana kuongea/kuhutubia watu wengi na hicho wao hukiona kama kipimo cha kukubalika kwao."all politician are adicted to mass cogregations" yaani wanasiasa wote wanauraibu wa kupenda kuhutubia watu wengi eg Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Aikael Mbowe huyu bwana yuko radhi akodi hata Helkopta ili tu akusanye watu wengi wa kumsikiliza bili kujali mass quality wao huangalia Mass quantity.

Jambo hili limemtokea jana Raisi wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh Dk John Joseph Pombe Magufuli katika viwanja vya chuo cha biashara Ushirika Moshi baada ya watu kwenda kumpokea kwa lazima kwa mujibu wa sheria na kanuni za uendeshaji wa serikari,Watu hawa hawakuja wote kwa mapenzi yao.

Kama tunashule za sekondari 279 na kila shule ikaleta wastani wa watu 50 tu, Basi jana tulikuwa na wadau toka shule za sekondari 13,950 bila kuhesabu shule za msingi ambazo ni zaidi ya 500,Nyuma ya viwanja vya ushirika kipo chuo cha Biashara cha Ushirika ( MUCU) chenye wanafunzi zaidi 1,000 nao walikuwepo kwa lazima, Ukivuka barabara ni chuo cha cha polisi CCP nao walikuwepo kwa lazima, Juu kidogo chuo cha KCMC nao walikuwepo kwa lazima, Mbele kidogo ni chuo cha Mwenge University collage nao walikuwepo kwa lazima.

Uongozi wa mkoa wa Kilimanjoro nawapongeza kwa kumuhadaa mwanasiasa huyu mwenye adiction ya mass quantity badala ya mass quantity,Siamini wala sioni kama ni busara Raisi wa inchi nzima kujisifia mkusanyiko wa watu wether ni wengi au wachache Raisi anapashwa kujikita kwenye Maendeleo tu. Waje 20 waje 20,000 wewe fanya kwa kadiri unavyoweza usichanganwe na wingi au uchache wa watu, Ipo siku utaenda mahali utakosa watu utakasirika Raisi wangu, Huu si muda wa kampeni hata kama uko kwenye kampeni mbona unapambana na usiyemjua?

Msemakweli Mpenzi wa Mungu
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania.
Haya kachukue Buku mtaa wa Ufipa, maana hali yenu kifedha ni mbaya.
 
Chuo kinaitwa Chuo kikuu cha Ushirika Moshi (MoCU) sio MUCU kama ulivyoandika. Pili ule haukuwa mkutano wa kisiasa bali sikukuu ya wafanyakazi kwa hiyo haina uhusiano na maelezo yako. Wafanyakazi wa mkoa wa Kilimanjaro tulikuwepo pale

...Kumbe ulikuwepo mkuu? Vp ni kweli mliwezeshwa buku tano kiongozi?
 
Wanajamii amani iwe kwenu!
Katika hali isiyo ya kawaida jana nilimshuhudia Raisi wa Tanzania Dk John Joseph Pombe Magufuli
akiwa na furaha iliyopitiliza, Akiongea kwa bashasha na kujiamini Raisi Magufuli anasema hajawahi kuona umati mkubwa wa watu kama ule uliokuwapo kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjoro, Mkoa mbao wakati tunapata Uhuru ulikuwa na watu 300,000 tu

Itakumbukwa kuwa mkoa wa K`njaro unawakazi takribani mil 1.6 huku ukiwa na shule za sekondari zaidi 279, Ukifuatiwa na mkoa wa Dar-es salaam wenye watu mil 5 ukiwa na shule za sekondari 230 pekee na kisha mkoa wa Mwanza wenye watu 2.7 huku kukiwa kuna shule za sekondary 218 achilia mbali Mbeya kabla ya kuwanywa iliyokuwa na shule za sekondari 270.

Kama ilivyokawaida ya wanasiasa wote duniani hupenda sana kuongea/kuhutubia watu wengi na hicho wao hukiona kama kipimo cha kukubalika kwao."all politician are adicted to mass cogregations" yaani wanasiasa wote wanauraibu wa kupenda kuhutubia watu wengi eg Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Aikael Mbowe huyu bwana yuko radhi akodi hata Helkopta ili tu akusanye watu wengi wa kumsikiliza bili kujali mass quality wao huangalia Mass quantity.

Jambo hili limemtokea jana Raisi wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh Dk John Joseph Pombe Magufuli katika viwanja vya chuo cha biashara Ushirika Moshi baada ya watu kwenda kumpokea kwa lazima kwa mujibu wa sheria na kanuni za uendeshaji wa serikari,Watu hawa hawakuja wote kwa mapenzi yao.

Kama tunashule za sekondari 279 na kila shule ikaleta wastani wa watu 50 tu, Basi jana tulikuwa na wadau toka shule za sekondari 13,950 bila kuhesabu shule za msingi ambazo ni zaidi ya 500,Nyuma ya viwanja vya ushirika kipo chuo cha Biashara cha Ushirika ( MUCU) chenye wanafunzi zaidi 1,000 nao walikuwepo kwa lazima, Ukivuka barabara ni chuo cha cha polisi CCP nao walikuwepo kwa lazima, Juu kidogo chuo cha KCMC nao walikuwepo kwa lazima, Mbele kidogo ni chuo cha Mwenge University collage nao walikuwepo kwa lazima.

Uongozi wa mkoa wa Kilimanjoro nawapongeza kwa kumuhadaa mwanasiasa huyu mwenye adiction ya mass quantity badala ya mass quantity,Siamini wala sioni kama ni busara Raisi wa inchi nzima kujisifia mkusanyiko wa watu wether ni wengi au wachache Raisi anapashwa kujikita kwenye Maendeleo tu. Waje 20 waje 20,000 wewe fanya kwa kadiri unavyoweza usichanganwe na wingi au uchache wa watu, Ipo siku utaenda mahali utakosa watu utakasirika Raisi wangu, Huu si muda wa kampeni hata kama uko kwenye kampeni mbona unapambana na usiyemjua?

Hongera sana wanafunzi wote wa mkoa wa K` njaro kwa kumpatia Mh Rais furaha ya Moyo wake ila ninyi wafanyakazi na wananchi wa Moshi Mungu anawaona.
Mwafwaaaaaaaaaaaaaaa.

Msemakweli Mpenzi wa Mungu
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania.
Kwani hao wanafunzi sio watu ...ama sio watanzania
 
Yaani kwa staili yenu (mleta mada) hii ya kuzusha mambo! Mtapata shida 2020 kutetea majimbo yenu. Hamna mkakati sasa wa kuja na ajenda ya kuwasaidia wananchi. Mmekuwa 'muted', sikujua kama na ninyi mlikuwa na malengo feki juu ya maendeleo ya watanzania.
 
Wanajamii amani iwe kwenu!
Katika hali isiyo ya kawaida jana nilimshuhudia Raisi wa Tanzania Dk John Joseph Pombe Magufuli
akiwa na furaha iliyopitiliza, Akiongea kwa bashasha na kujiamini Raisi Magufuli anasema hajawahi kuona umati mkubwa wa watu kama ule uliokuwapo kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjoro, Mkoa mbao wakati tunapata Uhuru ulikuwa na watu 300,000 tu

Itakumbukwa kuwa mkoa wa K`njaro unawakazi takribani mil 1.6 huku ukiwa na shule za sekondari zaidi 279, Ukifuatiwa na mkoa wa Dar-es salaam wenye watu mil 5 ukiwa na shule za sekondari 230 pekee na kisha mkoa wa Mwanza wenye watu 2.7 huku kukiwa kuna shule za sekondary 218 achilia mbali Mbeya kabla ya kuwanywa iliyokuwa na shule za sekondari 270.

Kama ilivyokawaida ya wanasiasa wote duniani hupenda sana kuongea/kuhutubia watu wengi na hicho wao hukiona kama kipimo cha kukubalika kwao."all politician are adicted to mass cogregations" yaani wanasiasa wote wanauraibu wa kupenda kuhutubia watu wengi eg Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Aikael Mbowe huyu bwana yuko radhi akodi hata Helkopta ili tu akusanye watu wengi wa kumsikiliza bili kujali mass quality wao huangalia Mass quantity.

Jambo hili limemtokea jana Raisi wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh Dk John Joseph Pombe Magufuli katika viwanja vya chuo cha biashara Ushirika Moshi baada ya watu kwenda kumpokea kwa lazima kwa mujibu wa sheria na kanuni za uendeshaji wa serikari,Watu hawa hawakuja wote kwa mapenzi yao.

Kama tunashule za sekondari 279 na kila shule ikaleta wastani wa watu 50 tu, Basi jana tulikuwa na wadau toka shule za sekondari 13,950 bila kuhesabu shule za msingi ambazo ni zaidi ya 500,Nyuma ya viwanja vya ushirika kipo chuo cha Biashara cha Ushirika ( MUCU) chenye wanafunzi zaidi 1,000 nao walikuwepo kwa lazima, Ukivuka barabara ni chuo cha cha polisi CCP nao walikuwepo kwa lazima, Juu kidogo chuo cha KCMC nao walikuwepo kwa lazima, Mbele kidogo ni chuo cha Mwenge University collage nao walikuwepo kwa lazima.

Uongozi wa mkoa wa Kilimanjoro nawapongeza kwa kumuhadaa mwanasiasa huyu mwenye adiction ya mass quantity badala ya mass quantity,Siamini wala sioni kama ni busara Raisi wa inchi nzima kujisifia mkusanyiko wa watu wether ni wengi au wachache Raisi anapashwa kujikita kwenye Maendeleo tu. Waje 20 waje 20,000 wewe fanya kwa kadiri unavyoweza usichanganwe na wingi au uchache wa watu, Ipo siku utaenda mahali utakosa watu utakasirika Raisi wangu, Huu si muda wa kampeni hata kama uko kwenye kampeni mbona unapambana na usiyemjua?

Hongera sana wanafunzi wote wa mkoa wa K` njaro kwa kumpatia Mh Rais furaha ya Moyo wake ila ninyi wafanyakazi na wananchi wa Moshi Mungu anawaona.
Mwafwaaaaaaaaaaaaaaa.

Msemakweli Mpenzi wa Mungu
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania.
Hakuna jambo zuri mnalopenda litokee Kilimanjaro. Kila ubaya mnatafuta kuuchafua mkoa huu. Jana ilikuwa Mei Mosi watu wamepumzika wakaamua kwenda kumuona na kumsikiliza Rais kwa wingi kutoka vitongoji vyote vya mkoa kuanzia Uru, Kibosho, Old Moshi, Kirua, himo, Hai, siha,Rombo, Same na Mwanga. Nauli ni ndogo tu kutoka vijiji hivyo kuja Moshi Mjini alipokuwa Rais na si ajabu walihamasishwa na wakuu wao wilayani. Kilimanjaro Hongera kwa mapokezi makubwa kwa Rais wetu. Siasa zilishapita sasa watu wanajenga nchi!!
 
Wanajamii amani iwe kwenu!
Katika hali isiyo ya kawaida jana nilimshuhudia Raisi wa Tanzania Dk John Joseph Pombe Magufuli
akiwa na furaha iliyopitiliza, Akiongea kwa bashasha na kujiamini Raisi Magufuli anasema hajawahi kuona umati mkubwa wa watu kama ule uliokuwapo kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjoro, Mkoa mbao wakati tunapata Uhuru ulikuwa na watu 300,000 tu

Itakumbukwa kuwa mkoa wa K`njaro unawakazi takribani mil 1.6 huku ukiwa na shule za sekondari zaidi 279, Ukifuatiwa na mkoa wa Dar-es salaam wenye watu mil 5 ukiwa na shule za sekondari 230 pekee na kisha mkoa wa Mwanza wenye watu 2.7 huku kukiwa kuna shule za sekondary 218 achilia mbali Mbeya kabla ya kuwanywa iliyokuwa na shule za sekondari 270.

Kama ilivyokawaida ya wanasiasa wote duniani hupenda sana kuongea/kuhutubia watu wengi na hicho wao hukiona kama kipimo cha kukubalika kwao."all politician are adicted to mass cogregations" yaani wanasiasa wote wanauraibu wa kupenda kuhutubia watu wengi eg Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Aikael Mbowe huyu bwana yuko radhi akodi hata Helkopta ili tu akusanye watu wengi wa kumsikiliza bili kujali mass quality wao huangalia Mass quantity.

Jambo hili limemtokea jana Raisi wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh Dk John Joseph Pombe Magufuli katika viwanja vya chuo cha biashara Ushirika Moshi baada ya watu kwenda kumpokea kwa lazima kwa mujibu wa sheria na kanuni za uendeshaji wa serikari,Watu hawa hawakuja wote kwa mapenzi yao.

Kama tunashule za sekondari 279 na kila shule ikaleta wastani wa watu 50 tu, Basi jana tulikuwa na wadau toka shule za sekondari 13,950 bila kuhesabu shule za msingi ambazo ni zaidi ya 500,Nyuma ya viwanja vya ushirika kipo chuo cha Biashara cha Ushirika ( MUCU) chenye wanafunzi zaidi 1,000 nao walikuwepo kwa lazima, Ukivuka barabara ni chuo cha cha polisi CCP nao walikuwepo kwa lazima, Juu kidogo chuo cha KCMC nao walikuwepo kwa lazima, Mbele kidogo ni chuo cha Mwenge University collage nao walikuwepo kwa lazima.

Uongozi wa mkoa wa Kilimanjoro nawapongeza kwa kumuhadaa mwanasiasa huyu mwenye adiction ya mass quantity badala ya mass quantity,Siamini wala sioni kama ni busara Raisi wa inchi nzima kujisifia mkusanyiko wa watu wether ni wengi au wachache Raisi anapashwa kujikita kwenye Maendeleo tu. Waje 20 waje 20,000 wewe fanya kwa kadiri unavyoweza usichanganwe na wingi au uchache wa watu, Ipo siku utaenda mahali utakosa watu utakasirika Raisi wangu, Huu si muda wa kampeni hata kama uko kwenye kampeni mbona unapambana na usiyemjua?

Hongera sana wanafunzi wote wa mkoa wa K` njaro kwa kumpatia Mh Rais furaha ya Moyo wake ila ninyi wafanyakazi na wananchi wa Moshi Mungu anawaona.
Mwafwaaaaaaaaaaaaaaa.

Msemakweli Mpenzi wa Mungu
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania.
WATANZANIA MKO NA MANENO MINGI SANA, HII FAIDA YAKE NINI KUTUANDIKIA HII KULA USHIBE.............
 
W
Wanajamii amani iwe kwenu!
Katika hali isiyo ya kawaida jana nilimshuhudia Raisi wa Tanzania Dk John Joseph Pombe Magufuli
akiwa na furaha iliyopitiliza, Akiongea kwa bashasha na kujiamini Raisi Magufuli anasema hajawahi kuona umati mkubwa wa watu kama ule uliokuwapo kwenye viwanja vya Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjoro, Mkoa mbao wakati tunapata Uhuru ulikuwa na watu 300,000 tu

Itakumbukwa kuwa mkoa wa K`njaro unawakazi takribani mil 1.6 huku ukiwa na shule za sekondari zaidi 279, Ukifuatiwa na mkoa wa Dar-es salaam wenye watu mil 5 ukiwa na shule za sekondari 230 pekee na kisha mkoa wa Mwanza wenye watu 2.7 huku kukiwa kuna shule za sekondary 218 achilia mbali Mbeya kabla ya kuwanywa iliyokuwa na shule za sekondari 270.

Kama ilivyokawaida ya wanasiasa wote duniani hupenda sana kuongea/kuhutubia watu wengi na hicho wao hukiona kama kipimo cha kukubalika kwao."all politician are adicted to mass cogregations" yaani wanasiasa wote wanauraibu wa kupenda kuhutubia watu wengi eg Mwenyekiti wa CHADEMA Mh Freeman Aikael Mbowe huyu bwana yuko radhi akodi hata Helkopta ili tu akusanye watu wengi wa kumsikiliza bili kujali mass quality wao huangalia Mass quantity.

Jambo hili limemtokea jana Raisi wa Tanzania wa awamu ya Tano Mh Dk John Joseph Pombe Magufuli katika viwanja vya chuo cha biashara Ushirika Moshi baada ya watu kwenda kumpokea kwa lazima kwa mujibu wa sheria na kanuni za uendeshaji wa serikari,Watu hawa hawakuja wote kwa mapenzi yao.

Kama tunashule za sekondari 279 na kila shule ikaleta wastani wa watu 50 tu, Basi jana tulikuwa na wadau toka shule za sekondari 13,950 bila kuhesabu shule za msingi ambazo ni zaidi ya 500,Nyuma ya viwanja vya ushirika kipo chuo cha Biashara cha Ushirika ( MUCU) chenye wanafunzi zaidi 1,000 nao walikuwepo kwa lazima, Ukivuka barabara ni chuo cha cha polisi CCP nao walikuwepo kwa lazima, Juu kidogo chuo cha KCMC nao walikuwepo kwa lazima, Mbele kidogo ni chuo cha Mwenge University collage nao walikuwepo kwa lazima.

Uongozi wa mkoa wa Kilimanjoro nawapongeza kwa kumuhadaa mwanasiasa huyu mwenye adiction ya mass quantity badala ya mass quantity,Siamini wala sioni kama ni busara Raisi wa inchi nzima kujisifia mkusanyiko wa watu wether ni wengi au wachache Raisi anapashwa kujikita kwenye Maendeleo tu. Waje 20 waje 20,000 wewe fanya kwa kadiri unavyoweza usichanganwe na wingi au uchache wa watu, Ipo siku utaenda mahali utakosa watu utakasirika Raisi wangu, Huu si muda wa kampeni hata kama uko kwenye kampeni mbona unapambana na usiyemjua?

Hongera sana wanafunzi wote wa mkoa wa K` njaro kwa kumpatia Mh Rais furaha ya Moyo wake ila ninyi wafanyakazi na wananchi wa Moshi Mungu anawaona.
Mwafwaaaaaaaaaaaaaaa.

Msemakweli Mpenzi wa Mungu
Mungu ibariki Tanzania na Watanzania.
Wale waliojipanga barabarani na runinga zilionesha nao ni wanafunzi? Hata kama unaichukuia CCM si kwa kiwango hiki cha kilofa!
 
Melezo marefu lakini ni pumba tupu (crap).

Nina uhakika kama angekuta watu 100 ndani ya uwanja ungekuja hapa na kuanza kusema ''wana Moshi wamesusia/wamemkataa Rais Magufuli.

Achilia mbali ya kwenye uwanja wa chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, Hao watu waliokuwa wamejipanga barabarani kumpokea kutokea uwanja wa ndege mpaka Ikulu ndogo uliwaleta wewe?

Unajaribu kupambana na ukweli!

Ukweli ni kwamba, the man is popular and well respected.
Hii nchi ngumu ssna. Kuna watu hawana jema. Wrong and unfair.
 
Back
Top Bottom