KILIMANJARO: Polisi watumia mabomu kutawanya raia huko Rombo

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,720
55,859
pic+polisi.jpg


Polisi wa Kutuliza Ghasisi (FFU) mkoani Kilimanjaro wametumia mabomu kuwatawanya wananchi wa eneo la Tarakea wilayani Rombo, waliokusanyika kutaka kuwekewa matuta,mwendesha pikipiki kugongwa na lori la kubeba magogo na kufa papo hapo, wananchi walianza kuhamasishana na kufunga barabara.

Kamanda wa Polisi Mkoa Kilimanjaro, Wilbroad Mutafungwa hakupatikana kuelezea tukio, lakini Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo alithibitisha kutokea kwa vurugu hizo.

“Tumetumia busara zote kuhakikisha barabara hiyo inafunguliwa lakini ikashindikana, hivyo polisi na Serikali tukalazimika kutumia nguvu,” alisema Kipuyo
 
Hapana Sio moshi, Tarakea ipo wilaya ya rombo mkoa wa kilimanjaro, moshi ni wilaya kama ilivyo Rombo, msichanganye kilimanjaro na moshi, moshi ni wilaya ndani ya kilimanjaro, Tarakea ni tarafa ndani ya wilaya ya rombo. Edit tafadhali.
 
Duh, Tarekea nilikuwa majuzi kati hapo, nilipata "chura" wa Kikenya, usiku ulikuwa mzuri sana!
 
Back
Top Bottom