Kilimanjaro: Polisi wapata ajali

Kilimanjaro: Polisi wapata ajali

Shetemba

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2018
Posts
955
Reaction score
984
Gari ya polisi imepata ajali mbaya hapa kwenye mteremko wa kwa sadala wilayani Hai, baada ya kuvaana uso kwa uso na FUSO

IMG_20250812_111840_261.jpg
 

Attachments

  • IMG_20250812_111840_261.jpg
    IMG_20250812_111840_261.jpg
    184.2 KB · Views: 22
Wahi kituo kilicho karibu na hapo wape taarifa polisi wawahi kuwaokoa kabla wqnanchi hawajawamalizia au piga namba hii haraka 0769231043 ili wapewe msaada wa haraka .
Unaweza shangaa unakwenda kutoa taarifa na wewe unakamatwa kwa kosa la kushiriki kutazama ajali na unafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi.
 
Back
Top Bottom