Kilimanjaro: Nowhere to compare with


We nadhan siyo wa boma tuulize wa apo bm kiwanja cha mil 5 kikubwa upate wap ww labda uko masaini kbsa ndo utapata mkuu
 
my friend, its very unfortunate kwamba haujui unayeongea naye, mimi unayeongea na mimi ni mchaga wa rombo mashati, lakini sikai kilimanjaro na baba yetu hajatulelea kilimanjaro pamoja na kwamba at least kila mwaka lazima twende kusalimia ndugu. kwa jinsi nilivyokua mikoa mingine, nikahisi namna wachaga wanavyochukiwa kwasababu ya majivuno kama ya kwako, inaniwia shida sana kusapoti point zako kwasababu naona zitasababisha wachaga waendelee kuchukiwa zaidi mikoa mingine, na watapendwa kilimanjaro na arusha tu. ukabila hauna dili.
 
ndio kitu cha ajabu ninachokiona, sisi wengine ni wachaga tumezaliwa mikoani na wamama ambao sio wachaga. huku mikoa mingine tunakoishi wachaga wamejenga makazi yao ya kudumu huku, nyamachoma nyingi mitaani ya wachaga, mabaa mengi ya wachaga, maduka mengi ya wachaga na wamejenga makazi ya kudumu huku, sasa tukisema kilimanjaro ni mkoa wetu sisi wachaga peke yake wakati huku mikoani sisi wengine tumezaliwa huku na makazi yetu ya kudumu ni huku je? hawa nao wangekuwa wakabila wakatufukuza tukajenge kilimanjaro tungefanyeje? ndio maana nasema kilimanjaro ni ya watz wote na mikoa mingine yote ni ya watz wote, kama kuna maendeleo basi ni fahari ya watz wote si ya wachaga pekee.
 

Mkuu naomba upunguze jazba, hawa watoto wa siku hizi hawana jipya zaidi ya kuweka ushindani kwenye vitu visivyo na msingi na ndio maana mimi huwa nawashauri waende kuuza sura na watoto wenzao kule facebook siyo hapa jf the home of great thinker

.made in mby city.
 
Ukitaka elezea uzuri wa Tanzania basi Kikimanjaro ndo sehemu ya kuelezea uzuri huo..
 
Ni kweli kabisa Kilimanjaro iko vizuri kuliko kwetu Mtwara, lakini hii ni kutokana na mikakati yao iliyojengeka kwa nguzo tatu:- U

Ukabila,
Wizi wa mali za umma na
Ubinafsi.

Ni mara nyingi tu watendaji wa serikali wa mikoa hii wamepindisha miradi kadhaa ya kimaendeleo na kuipeleka kwao? Umeme na Barabara ni mifano ya karibu.
 
karibuni Kilimanjaro mjifunze ustaarabu, najua wote mnafahamu mchango wa mkubwa Wachaga katika maendeleo ya kiuchumi ya taifa hili. Hata usiposema lakini ndani ya moyo wako unakubaliana na hili.
 
Nani anakuhujumu??
 
Last edited by a moderator:

Kwanin wasiende kujenga hayo mashule sehemu nyingine?
 

Hujamuelewa huyo uliye-mquote.

Mrudie kumsoma tena
 

Mkuu id yako kiboko
 
jamaaa hawa ukiwasikiliza sana unaweza fikiria kirimanjaro siyo tz ila ipo marekani.
kwa taarifa ukisema natoka krmnjlo nchi za watu, unahesabiwa maskini kama mtu anaetoka tz. wew mtoa post achen ukabilaaa du.
 
Kwa kweli pako vizuri, naamini viongozi waliotoka maeneo ya Kilimanjaro kipindi hicho walikuwa na akili na pia kujali wananchi wao.
 
mkuu ni kweli huu mkoa wamejaribu sana kuufanyia hujuma hawawezi..
siyo tpc tu kuna kiwanda cha bia Kibo walikihamishia mwanza, ila watu bado wanayatafuta maisha.
siasa za CCM mbaya sana, cheki mwanga na Same kuliko na Maccm.
kwani hujuma zimeanza leo?....walihamisha kiwanda cha tanneries,wakakipeleka kanda ya ziwa,chali!...chuo kikuu cha kwanza kujengwa na chama cha ushirika (KNCU) ni MUCCOBS,kahawa ilitumika kuondoa umaskini saana,sasa imehujumiwa,idadi ya wanafunzi waliokuwa wanaenda sekondari iliminywa kuwabana wachaga,pass mark ilikuwa juu kuliko mikoa mingine,wakafanyaje?watoto wakapelekwa kwa wajomba na mashangazi mikoa mingine,wakawa ndio watusuaji,yaani ni mengi mno,kuishika nchi ndio tunawekewa kauzibe,2005 tulisimamisha wagombea wanne,Mrema,Mbowe,Mvungi,Senkoro,mwamko huku nimkubwa jamani msitupige vita jiungeni na sisi!
 

Jinsi gan unavyoionea aibu hadi ume- edit jina la chama cha mafisadi ma majambaz ww nawe pia kam sikosei utakuw unatokea mikoa iliyosahaulika kweny kila kitu pumbaf**
 

Kadri sk zinavyosogea mbele wanasisiem weng wanazidi kuwa matahira ila m ntamuomba Mungu awasaidie wasiendelee kuathirika na wngne maan mirembe itajaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…