Ingependeza uwe meneja wake na kumuinua zaidi kimuziki,mara ya kwanza nilimwona BSS anatokea A-town!..
Big up to Chidi Benz,kaka ana sauti nzito na nzuri. Collabo yake na Mwasiti kwenye 'Hao' ni safi halafu na kwenye 'Bado umenuna' kashirikishwa na Marlaw.