Kilimanjaro: Mama afariki dunia baada ya kuporomoshewa matusi na mtoto wake wa kiume

Atajutia maisha yake yote kenge huyo na shida zitamuandama mbwa huyo

Nahisi kama pigo la kwanza dogo litakalompata huyu kijana mpuuzi ni la kuachwa na mkewe. Kwa sababu huyo mke atapata wapi ujasiri wa kuendelea kuwa na mme asiyekuwa na akili timamu kama huyo? Kama kaweza kumuua mama yake kwa matusi, atashindwa nini kumuua mkewe kwa namna yoyote ile? Hapo mkewe lazima aepuke tatizo mapema.
 
Nahisi kama pigo la kwanza dogo litakalompata huyu kijana mpuuzi ni la kuachwa na mkewe. Kwa sababu huyo mke atapata wapi ujasiri wa kuendelea kuwa na mme asiyekuwa na akili timamu kama huyo? Kama kaweza kumuua mama yake kwa matusi, atashindwa nini kumuua mkewe kwa namna yoyote ile? Hapo mkewe lazima aepuke tatizo mapema.
sure..halafu linafuata pgo la kiuchumi halafu afya ya mwili au akili au vyote ndo vinamalizia
 
sasa najiuliza kuna faida gani ya hilo bao.......... hilo yai lililobebwa tumboni miezi tisa likawa kiumbe......... si bora tu Aaaagh, kweli Mungu Fundi ngoja tusubiri kifuatacho ITV.............
 
Na hata asingekufa basi asingeweza kuishi maana Huyo mtoto hataishia hapo ana makubwa zaidi atayafanya na dunia itamwelemea hivyo mama asingeweza kumuona mwanae anateseka angeumia sana!
 
Kumuchukia mama yako ndo umwambie ni bora ungenyonya maziwa ya mbwa kuliko maziwa yake?
kuna namna ya utoaji wa taarifa kutoka sehemu A kwenda sehemu B...........hapo litaonekana tukio la Mama mna Mtoto unaeza kuta kichocheo cha hilo jambo ni mtu C huwezi ukaambiwa tu kawaida mama yako anakudai ile hela ukapanick tofauti na ukiambiwa huyo mama yako ameshaanza makelele na anajua mtoto anaumwa emb kaongee nae matatizo mengi huja na namna za utoaji taarifa ukiacha akili za wahusika wengi vinywa ni silaha tumekaa nazo...............
 
Hapo kuna akili mbovu, namna taarifa iliyopelekwa kwa muhusika na mambo mengine tusiyoyajua kama chuki za chini kwa chini na mabifu endelevu ya vinyongo na hasira ambavyo ndo huja kumtoka mtu paap pia ikizingatiwa afrika kuna mambo meengi sana jumlisha na matumizi ya vilevi isivyosahihi...........
 
Ujue saa nyingne tunasaidia watu/omba omba mtaani/barabarani kumbe ni mijitu km hii pasipo kujua, kumbe ulipaswa ulisindikize na kofi la uso na kumpokonya hata alichonacho, pumbavu kbsa

Hawa omba omba wanatupa mthan na majarb sana kwa muumba kujua yupi unapaswa kumsaidiwa kweli na yupi una haki hata ya kumuongezea matatzo, maana jitu km hili siku si nying litaingia barabaram nalo linaomba mia mbili ya chakula.


Na ndio maana alietuumba ametunyima kuwajua wabaya ila tu tuwe na NIA ya dhati na IMANI thabiti! Maisha ni Fumbo, Fumbo la IMANI!
 
Wewe vipi na wewe usiseme "huwezi mtukana mzazi KIASI HICHO"
Tukikuuliza kumbe unaweza mtukana mzazi kwa KIASI GANI?
Utajibuje??
Kuna KIASI cha kumtukana Mzazi kinachokubalika?
Uwe unasoma kuelewa na si kujibu.. Nilijibu kutegemeana na post niliyoi-quote. Mimi sijawahi kumtusi mzazi ila haimaanishi kuwa hakuna wanaoteleza na kufanya hilo, Ni sehemu ya ubinadamu lakini sio kwa kiwango cha matusi aliyotukanwa marehemu
 
Watu kama ww nawamaind kinyama..aliekwambia kuna siku ya mwisho nan??

Huyo jamaa amefanya upumbav wa kiwango cha rami lkn sio sabb ya kusema siku za mwisho!!
Mbona zaman binti walimnyeesha pombe mzee wao na wakajigegedesha nae nazo zilikuwa siku za mwisho!??



Upumbav (kama wa huyo jamaa) upo toka zaman
Pole sana naona umepaniki
 
Back
Top Bottom