Kilimanjaro International Airport (KIA)

Kilimanjaro International Airport (KIA)

Trapeza

Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
12
Reaction score
3
Je,una maoni gani,Dukuduku au ushauri kwa uongozi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA)?
 
Kwanini waliruhusu twiga wetu wasafirishwe kwny ndege kupitia uwanja huo? Huu ni uzembe na aibu kubwa kwa uongozi wa KIA
 
Makaburu wa Tanzanite One wanatorosha sana Tanzanite kupitia KIA
 
KIA wanajitahidi sana siku hizi, ndege zimeongezeka sana na uwanja umekuwa wa kimataifa zaidi. Huduma za Kia ni nzuri kuliko za JNIA, ndio ukweli. Na mipango iliyopo ya kupanua uwanja ni mizuri na kama wanavyosema baada ya upanuzi uwezo wake wa kupokea ndege utakuwa sawa au kuzidi Nairobi. Kia ni uwanya bora kwa abiria chini ya M1 kwa mwaka na wamepata zawadi hii mara 2 mfululizo.

Ila nasema panueni majengo wekeni vitu vya kisasa mambo yatakuwa supa sana
 
Back
Top Bottom