Kilima Nye@%e

Kilima Nye@%e

kadoda11

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
21,453
Reaction score
20,755
Kwa wakazi wa dar wenye magari na mnaotumia barabara za osterbay najua jina la Kilima Nye@%e sio geni kwenu.Nipeni shuhuda zenu.Je ni kweli ukiwa ndani ya gari na ikashuka hako ka mteremko kwa speed unajihisi Nye@%em au ni stori tuu za mjini.Mimi mshamba wa huku mpitimbi nimeshauza mazao yangu,napanga kuja dar kununua ka private transport na Barabara yangu ya kwanza kuuzia sura itakuwa ni hiyo ya Osterbay-Kilima Nye@%e.Haya Wadada/Wakaka wakazi wa Dar tiririkeni kutoa shuhuda zenu kuhusu mambo ya Kilima Nye@%e.
nyege.jpg
 
Zinapanda mpaka masikioni. Ukishanunua pita hapo uone.
 
Huwa nahisi kuna kitu kama kinashuka tumboni shaaah

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Huwa nahisi kuna kitu kama kinashuka tumboni shaaah

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
hahahahaha...kama ni hivyo itabidi nami nikatishe hapo na kamkweche kangu halafu nikikaribia hapo nakamua mafuta ili nifaidi wakubwa wanavyo faidi.lol
 
mi naona kawaida. nikipita kwa baiskeli nahisi imepaa. mia
 
akili ya mainjinia iligota? au walipandwa na nye...... wakaacha hvyohvyo.
 
mi naona kawaida. nikipita kwa baiskeli nahisi imepaa. mia

siku moja tulikatiza hiyo barabara na secretary wetu kwa gari la ofisini,tuliposhuka tu hako kamlima,secretary akafanya "aaahuuu".tukamuuliza vp,akijibu "nimezisikia",wote tukacheka.
 
hii hali nilidhani mimi tu kumbe wengi eeeh ila ukikemea wakati umekaribia kushuka kilima husikiii
 
siku moja tulikatiza hiyo barabara na secretary wetu kwa gari la ofisini,tuliposhuka tu hako kamlima,secretary akafanya "aaahuuu".tukamuuliza vp,akijibu "nimezisikia",wote tukacheka.
Naona kama ilikuwa wewe ila unamsingizia vile..hahahahaaaaaaaa
 
anhaaa kumbe uzi wa zamani

ni wa zamani lakini nimeuibua leo kwa kuwa wengi wetu tumepumzika majumbani,hivyo siyo siku mbaya kujadili ishu za kilima nge*#.btw mi mwenyewe nipo kwenye kausafiri naelekea masaki kwa wifi yako na lazima nipitie hapo kuamsha "mahanjamu".lol
 
hahahahaha...kama ni hivyo itabidi nami nikatishe hapo na kamkweche kangu halafu nikikaribia hapo nakamua mafuta ili nifaidi wakubwa wanavyo faidi.lol
mkuu si utakuwa unaenda na kurudi kama mara 10 hivi mpaka upige bao kabisa? hahahaa!... kidding!
 
ni wa zamani lakini nimeuibua leo kwa kuwa wengi wetu tumepumzika majumbani,hivyo siyo siku mbaya kujadili ishu za kilima nge*#.btw mi mwenyewe nipo kwenye kausafiri naelekea masaki kwa wifi yako na lazima nipitie hapo kuamsha "mahanjamu".lol

haha haya msalime wii mwambie asizidishe dose kesho job
 
hii hali nilidhani mimi tu kumbe wengi eeeh ila ukikemea wakati umekaribia kushuka kilima husikiii

queen hii ni kawaida bhana unapokuwa unashuka kwenye vimiteremko vidogo vidogo kwenye barabara!

Lazima tu utajisikia vi ashki ashki vya 6 kwa 6! lol..

kuna barabara fulani hapa igombe ina vilima kama 10 hivi disain hiyo.. nakwambia unaweza kulia kwa genye.. lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom