Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,355
- 2,737
Ukiwaona prof Mukandara, Baregu, akina Rwaitama, na wengine wengi wamesomeshwa na hii kitu..........hamna ubishi sio kashfa lakini ukweli ndo huo hii imepeleka watu mbali sana
Maandalizi ya kilichosomesha watu
Baadae tuna under go fractional distillation. Jamani mkiona watu wanakmaakubaki kwenye nyadhifa zao mjue hawataki kurudi walikotoka. Kwa hii kitu watu tumechanja sana kuni.............watu ni ma prof..........lakini hii kitu ndo imewasogeza. Leo hii kuna ugomvi meya na Amani wala hawaingilii kati........wamebana hukohuko hawataki tuadvance hata kidogo.
Jioni njema..............kuna watu wakubwa sana humu wanachangia JF mada mbalimbali lakini biography yao wamesomeshwa na hii kitu.
Maandalizi ya kilichosomesha watu
Baadae tuna under go fractional distillation. Jamani mkiona watu wanakmaakubaki kwenye nyadhifa zao mjue hawataki kurudi walikotoka. Kwa hii kitu watu tumechanja sana kuni.............watu ni ma prof..........lakini hii kitu ndo imewasogeza. Leo hii kuna ugomvi meya na Amani wala hawaingilii kati........wamebana hukohuko hawataki tuadvance hata kidogo.
Jioni njema..............kuna watu wakubwa sana humu wanachangia JF mada mbalimbali lakini biography yao wamesomeshwa na hii kitu.