Kilichowasomesha wahaya

Kilichowasomesha wahaya

Ta Muganyizi

R I P
Joined
Oct 19, 2010
Posts
5,355
Reaction score
2,737
Ukiwaona prof Mukandara, Baregu, akina Rwaitama, na wengine wengi wamesomeshwa na hii kitu..........hamna ubishi sio kashfa lakini ukweli ndo huo hii imepeleka watu mbali sana

tanzania_squeezing.jpg


Maandalizi ya kilichosomesha watu

996565_541279515944145_71092411_n.jpg


Baadae tuna under go fractional distillation. Jamani mkiona watu wanakmaakubaki kwenye nyadhifa zao mjue hawataki kurudi walikotoka. Kwa hii kitu watu tumechanja sana kuni.............watu ni ma prof..........lakini hii kitu ndo imewasogeza. Leo hii kuna ugomvi meya na Amani wala hawaingilii kati........wamebana hukohuko hawataki tuadvance hata kidogo.

Jioni njema..............kuna watu wakubwa sana humu wanachangia JF mada mbalimbali lakini biography yao wamesomeshwa na hii kitu.
 
mkubwa,
naandaa tv program kuhusu hii kitu,bado nakusanya clips nk
nikimaliza nitarusha kwenye kipindi cha barua na kisha nitaingiza hapa ili wadau wajue hii mbinu

ingawa siyo wahaya tu bali wanakagera, maana kuna wahindi wengi sana kama wa kule kamachumu nk wamesoma kwa hii kitu.
 
Watu wanafunga tai kubwa ila waulize wamefikaje hapo ...............wengi wao nkonyagi ndo imewatoa.....la sasa
 
mkubwa,
naandaa tv program kuhusu hii kitu,bado nakusanya clips nk
nikimaliza nitarusha kwenye kipindi cha barua na kisha nitaingiza hapa ili wadau wajue hii mbinu

ingawa siyo wahaya tu bali wanakagera, maana kuna wahindi wengi sana kama wa kule kamachumu nk wamesoma kwa hii kitu.

Ikiwa tayari uni sms sitaki kukosa hata issue moja
 
Au ndo maana wako fit kwa english maana ukigonga hayo mamb lugha inashuka tu
 
Nshaisikiaga hii kitu nkonyagi bhana....gf wangu wa kihaya alinitel...kuuumbeeee....Kwetu Rombo mpakani na kenya wazee wetu walikua wanaenda kuiba bia Kenya na kuja kuziuza Moshi na Arusha miaka ile ya ujamaa ili watoto tupate ada za kwenda seminary...lol..watu jamani na maisha...???
 
hii kweli kabisa,mi mwenyewe imenisomesha mpaka saiv nna ka Msc. Ntelamu akapegi nkemalilemu,kolamala oshube ontelemu na akarobo ntwalile omukyala wange.
 
Nshaisikiaga hii kitu nkonyagi bhana....gf wangu wa kihaya alinitel...kuuumbeeee....Kwetu Rombo mpakani na kenya wazee wetu walikua wanaenda kuiba bia Kenya na kuja kuziuza Moshi na Arusha miaka ile ya ujamaa ili watoto tupate ada za kwenda seminary...lol..watu jamani na maisha...???

Habari ndo hiyo..............wengine wako ikulu ndo maana vita ya kuzuia gongo ni ngumu sana. Akipatikana raisi mwenye akili gongo ruksa....tena ahakikishe inakuwa balalnced in terms of alcohol percentage napia isiwe fololo sana.........yaani isiwe regular sana wala mbandule sana
 
mkubwa naandaa tv program kuhusu hii kitu,bado nakusanya clips nk nikimaliza nitarusha kwenye kipindi cha barua na kisha nitaingiza hapa ili wadau wajue hii mbinu ingawa siyo wahaya tu bali wanakagera, maana kuna wahindi wengi sana kama wa kule kamachumu nk wamesoma kwa hii kitu.

Kwani tatizo liwapi? Mi nafuikiri tatizo liko kwa huyo aliwaambia Gongo haramu!
 
Ukiwaona prof Mukandara, Baregu, akina Rwaitama, na wengine wengi wamesomeshwa na hii kitu..........hamna ubishi sio kashfa lakini ukweli ndo huo hii imepeleka watu mbali sana

tanzania_squeezing.jpg


Maandalizi ya kilichosomesha watu

996565_541279515944145_71092411_n.jpg


Baadae tuna under go fractional distillation. Jamani mkiona watu wanakmaakubaki kwenye nyadhifa zao mjue hawataki kurudi walikotoka. Kwa hii kitu watu tumechanja sana kuni.............watu ni ma prof..........lakini hii kitu ndo imewasogeza. Leo hii kuna ugomvi meya na Amani wala hawaingilii kati........wamebana hukohuko hawataki tuadvance hata kidogo.

Jioni njema..............kuna watu wakubwa sana humu wanachangia JF mada mbalimbali lakini biography yao wamesomeshwa na hii kitu.
Umenikumbusha mbali sana hasa kwenye kukusanya "EMBILE"! We acha tu, mzee wangu alale mahala pema peponi. AMEN!
 
hilo ni kweli kabisa, halina ubishi! kaliinya imetutoa sana
 
Hii kitu ni sehemu nyingi za Tanzania imewatoa watu. Tunatofautiana tu malighafi za kuitengeneza. Ina soko hadi leo.
 
Ukiwaona prof Mukandara, Baregu, akina Rwaitama, na wengine wengi wamesomeshwa na hii kitu..........hamna ubishi sio kashfa lakini ukweli ndo huo hii imepeleka watu mbali sana

tanzania_squeezing.jpg


Maandalizi ya kilichosomesha watu

996565_541279515944145_71092411_n.jpg


Baadae tuna under go fractional distillation. Jamani mkiona watu wanakmaakubaki kwenye nyadhifa zao mjue hawataki kurudi walikotoka. Kwa hii kitu watu tumechanja sana kuni.............watu ni ma prof..........lakini hii kitu ndo imewasogeza. Leo hii kuna ugomvi meya na Amani wala hawaingilii kati........wamebana hukohuko hawataki tuadvance hata kidogo.

Jioni njema..............kuna watu wakubwa sana humu wanachangia JF mada mbalimbali lakini biography yao wamesomeshwa na hii kitu.

Wakola waitu Ta Muganyizi!
 
Mwezi gwa ikumi na ibiri ningya omuka...hii kitu si mchezo...metoa watu mbali....bakama bange..!
 
Eti inasemekana kuna baadhi ya viwanda hukusanya konyagi mwitu na kuipaki kama ilivo na ipo sokoni kama kawa
 
Kwel Ta Muganyiz wahaya wengi wenye umri zaid ya miaka 40 wamesomeshwa na pombe za kienyeji ORUBIS na ENKONYAGI.
Sis wa sasa hiv tumesoma kwa vyanzo mbal mbal lakin salute kwa KALINYA!
 
Back
Top Bottom