Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,838
- 50,543
Dr. Charles Tizeba na Dr. Charles Kimei ni watu wawili tofauti wenye Majina yanayofanana na ni wabobevu kwenye fani wanazozitumikia. Lakini kwenye siku za hivi karibuni wote wawili wamemwaga chozi hadharani.
Tizeba na Kimei wote wamelizwa na hali ya kuona wana wajibu fulani wa kutimiza lakini wanakwamishwa na ukata wa fedha. Watu wazima kama kina Tizeba kulia hadharani si jambo dogo hata kidogo.
Tizeba na Kimei ni watu maarufu na ndiyo maana habari zao za kulia zimesikika sana nchini mwetu. Jee ni watanzania wangapi wanalizwa na hali kama waliyoiona kina Tizeba na Kimei?
Tizeba na Kimei wote wamelizwa na hali ya kuona wana wajibu fulani wa kutimiza lakini wanakwamishwa na ukata wa fedha. Watu wazima kama kina Tizeba kulia hadharani si jambo dogo hata kidogo.
Tizeba na Kimei ni watu maarufu na ndiyo maana habari zao za kulia zimesikika sana nchini mwetu. Jee ni watanzania wangapi wanalizwa na hali kama waliyoiona kina Tizeba na Kimei?