kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 11,120
- 24,395
Kumbe Warusi ni hamna kitu
unajua natype huku nacheka tu washirika wake wananyolewa tu yeye yupo tu.
Ukiachana Cuba, Venezuela ndo alikua mshirika wa uhakika wa Moscow kwenye eneo la America ya Kusini
Lakini sio hivyo tu Ona Syria ilivyochukuliwa kizembe na magaidi
Ona Iran Israel alivyoanza mashambulizi ya vita vya siku 12 Russia hakutoa msaada wowote ule kama Iran wasingetoa majibu mazito kwenye ile vita wakae wamsubiri mrusi sahivi Iran ingekua tayar imedondoka.
Russia sio mshirika wa kuaminika hata chembe yeye labda tumuamini kwenye kutengeneza pombe kali vodka tu
Ni sawa na China waingia pale Israel wamkamate Netanyahu halafu US et isifanye kitu.
Urusi ni super power la mchongo nimeamini hilo.
Hapo US atatajirika kinoma maana jamaa wana akiba kubwa ya mafuta kuliko nchi yoyote ile duniani
Madhara ya kutengeneza matatizo ya ndani hata kama una nia njema wananchi wako wataungana na watesi wako kukushughulikia....Wananchi wa Venezuela wameona bora washikane mkono wa Shetani mkuu US apore mafuta tu kwasababu serikali ya maduro ilikua inaua wananchi na kuwatesa na kuwakandamiza sana.
Imagine Wavenezuela wangekua hawatekwi, hawauliwi, hawafanyiwi ufisadi na watawala hawanyimwi huru leo US angetimba wananchi wangeungana na serikali kumkabili US lakini mambo yamekua vise versa kwasababu ya ubaya kuzidi uzuri wa kitu.
The same hapa kwetu, US wakija kumtoa huyu mtu wetu in exchange na Uranium tupo tayari maana utawala huu umeua raia zaidi ya elfu 10 ndani ya siku 3 tu na kila aina ya oppression wananchi wanapitia, huku ufisadi ukishamiri na hali ikizidi kuwa mbaya
Mpeni salam bi "Who are you" huu mwaka 2026 hauishi na hatoboi amini nawaambia, hatma yake itakua kama hii ya maduro au yule dikteta wa Romania.
Mmeona sasa Russia ni hamna kitu ni dola la mchongo tu
unajua natype huku nacheka tu washirika wake wananyolewa tu yeye yupo tu.Ukiachana Cuba, Venezuela ndo alikua mshirika wa uhakika wa Moscow kwenye eneo la America ya Kusini
Lakini sio hivyo tu Ona Syria ilivyochukuliwa kizembe na magaidi
Ona Iran Israel alivyoanza mashambulizi ya vita vya siku 12 Russia hakutoa msaada wowote ule kama Iran wasingetoa majibu mazito kwenye ile vita wakae wamsubiri mrusi sahivi Iran ingekua tayar imedondoka.
Russia sio mshirika wa kuaminika hata chembe yeye labda tumuamini kwenye kutengeneza pombe kali vodka tu

Ni sawa na China waingia pale Israel wamkamate Netanyahu halafu US et isifanye kitu.
Urusi ni super power la mchongo nimeamini hilo.
Hapo US atatajirika kinoma maana jamaa wana akiba kubwa ya mafuta kuliko nchi yoyote ile duniani
Madhara ya kutengeneza matatizo ya ndani hata kama una nia njema wananchi wako wataungana na watesi wako kukushughulikia....Wananchi wa Venezuela wameona bora washikane mkono wa Shetani mkuu US apore mafuta tu kwasababu serikali ya maduro ilikua inaua wananchi na kuwatesa na kuwakandamiza sana.
Imagine Wavenezuela wangekua hawatekwi, hawauliwi, hawafanyiwi ufisadi na watawala hawanyimwi huru leo US angetimba wananchi wangeungana na serikali kumkabili US lakini mambo yamekua vise versa kwasababu ya ubaya kuzidi uzuri wa kitu.
The same hapa kwetu, US wakija kumtoa huyu mtu wetu in exchange na Uranium tupo tayari maana utawala huu umeua raia zaidi ya elfu 10 ndani ya siku 3 tu na kila aina ya oppression wananchi wanapitia, huku ufisadi ukishamiri na hali ikizidi kuwa mbaya
Mpeni salam bi "Who are you" huu mwaka 2026 hauishi na hatoboi amini nawaambia, hatma yake itakua kama hii ya maduro au yule dikteta wa Romania.
Mmeona sasa Russia ni hamna kitu ni dola la mchongo tu