Kama mnachukia Usultani basi mngeuchukia Usultani wa CCM. Yaani Kitendo cha CCM kujimilikisha nchi.Nakubaliana kabisa na hoja hiyo ya usulutani wa akina mbowe hakuna kinachokera kama ubabe na ukandamizaji wa hawa watu halafu utakuta eti wanasema JPM anaminya demokrasia ....ajabu sana wao wanachokitaka lazima kiwe bora Sugu kaonesha mfano
Kamtaja na Maalim wala sijamuelewa!! Ebu niulizie tena.Mimi sijakuewa hata ulichomaanisha Mbowe anaingiaje hapo
Rais JPM alipokuwa Kilimanjaro mbona alishirikiana na Mbowe?