Kilichonipata leo, nimekoma!!

Aisee hiyo papuchi mpya iliyoondoka ni hatari kwa maisha yako na ya mtoto wanawake ya vitisho design hiyo ukiwa nao nasi maisha yako yatakuwa ni hatarishi
 
Pole sana mkuu,hapo itabidi umtafute huyo mama watoto muyameleze ili mtoto aweze pata malezi ya mama,mtoto bado Mdogo mno kumtunza mwenyewe
 
Ndugu yangu umevuna ulichopanda, maisha Ni km taswira unayoiona kwenye kioo, ukicheka Na yenyewe inacheka. Malezi mema ndugu...
 
Ndugu yangu umevuna ulichopanda, maisha Ni km taswira unayoiona kwenye kioo, ukicheka Na yenyewe inacheka. Malezi mema ndugu...
Kosa langu ni nini mkuu,na nimevuna nilichopanda,how????
 
Achana na wote. Huyo mwenye mtoto alitaka kuzaa mwenyewe hivyo anatumia mtoto kama silaha ya kujihami, anataka nini haswa, umuoe? Ili umkomeshe jikaushe na usimtafte maadam mtoto yupo mikononi mwako, mpeleke kwa mamako najua atakuhurumia tu mwanae kama haiwezekani mpeleke kituo cha kuleana mpaka atapofikisha umri flani hivi wa kuweza kukaa nae au tafta hata maid wa kukusaidia kumlea mwanao na usonge mbele na maisha
 
A
Ahsante ndugu,hilo lilishakuwa solved,Mungu mwema
 
Jamani hapo nina kosa kweli???kama ndiyo kosa langu ni nini?πŸ˜±πŸ™πŸ™πŸ™
Kosa lako ni kukitembeza pekupeku wakati hukuwa tayari kumbebesha mimba na kumuoa!
 
Duuh,kweli baadhi ya wanawake ni hatari,yule mdada wa Ki-Iraq amenijia tena,eti anaomba NIMSAMEHE kwa yaliyotokea,bado ananipenda sana,hivyo tuendelee na mahusiano yetu,lakini kwa bahati mbaya sana kilichotokea MWANZA (WANANDOA KUUANA KWA RISASI) imenijengea picha fulani ya woga wa kumrudia maana aweza kunifanyia kitu kibaya sana!!!
 
Soma vizuri post yangu kwa utulivu kabisa,utaelewa,kumbuka hakuniambia kuwa ana watoto wengine watatu,nilipogundua hilo nikajisepesha tu,na kuamua kuanza upya,ndo yamenifika hayo,kosa langu mimi ni nini mkuu
Kosa lako kujiepusha bila kumwambia huna mpango nae ila Mtoto utalea,yy akajua ushafika kwake,sasa Huyo wa kateshi achana nae,nae Hugo mzazi mwenzio achana nae ila Lea Mtoto wako bila hiana, tafuta wakuzikana nae, (oa mwingine) mweleze a-z ajue kabla ykumuweka ndani aamue kusuka au kunyoa hapo utafurahia maisha maana hao wrote hawana vigezo, mrudie muumba wako after finish your marriage
 
Kuwa makini dunia imevaa gunia ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…