Mtoto amekufa kwa pumu (pneumonia) baada ya kufungiwa kwenye boksi na hao wendwazimu kwa miaka 4! Utasemaje kwamba hawajamuua wao? You can't be serious! Think BIG mkuu.
Mimi sina imana kama amekufa.yule mlezi wa nasra pale muhimbili alikaririwa akisema na ninamnukuu..' Msinichukue mimi sitaki kwenda tena huko...' .hapa napata mawazo ya ushirikina zaidi.Wale wanaojinasibu kama wanatoa misukile mrudisheni nasra.
Angalau sasa unesema pneumonia japo nimonia is not chronic dzz,Lakini wengi tu wanalazwa na nimonia lakini hawafi nin kilijiri kwa nasra baada ya kupata chronic pneumonia?
Huyu mtoto alikaa kwenye box miaka minne na hakufa!! Hebu madaktari watweleze kwani inasemekana ni kutokana na mabadiliko ya mazingira ya ghafla aliyopewa mtoto huyu akashindwa!
Hata kama kungekuwa na kitu nyuma ya pazia, sio kigezo cha kumtesa mtoto mdogo kihivyo. Watu wengine ni wakatili zaidi ya wanyama na wala hawastahili kuishi hapa duniani--ni wa kunyongwa mpaka kufa. Mijitu yenye akili za kinyama kama hii haina nafasi katika dunia hii--roho zao zinapaswa kuwa motoni tu! Hata kama ukiokota mtoto mdogo usiyemjua huwezi kumtesa namna hii--kumweka kwenye boksi na kumsababishia maradhi, ni zaidi ya ukatili. Hao MBWA wanyongwe hadharani ili liwe fundisho kwa matutusa mengine kama wao wanaowanyanyasa watoto.
Niko pamoja na wote wanaopinga ukatili dhidi ya Binadamu especially innocent children,Inshala huyu mtoto Mungu atampokea na laana zote zitawashukia wahusika wa tukio ili.
Hata hivyo ukija kwenye upande wa sheria kesi hii ina utata mwingi sana na it may end up being Manslaughter,kwanza hao wakatili wamemuweka kwenye boksi na mateso yote kwa miaka minne hakufa,leo kachukuliwa na kupelekwa kunako huduma nzuri na tiba kafariki,je hao wazazi hawawezi kuwageuzia kibao waliomchukua kuwa ndio waliochangia kifo chake?hakuna murder ya causation,na ni ngumu sana ku-prove kuwa wakati wanamchukua alikuwa na pumu au hiyo pumu ili develop akiwa mikononi mwa rescuers,tuwe na analytical thinking.
Naona unawapa wauaji jinsi ya kujitetea vipi hili suala halijakukuzsa sana! yaani nina maana hujisikii uchungu aliopata huyo mtoto malaika?
Inanikumbusha pia maelfu ya arbotions yanayofanyika!NIONAVYO:
Natoa wito kwa watanzania wenzangu kutoa taarifa polisi haraka pindi waonapo ukatili wowote dhidi ya wanyonge, hasa watoto wadogo, ili sheria ichukue mkondo wake. Tatizo la watanzania walio wengi ni kwamba hatujaliani. Unaweza ukamuona mzazi/mlezi akimtesa mtoto lakini ukakaa kimya. Kufanya hivyo ni kutomtendea haki yule kiumbe anayeonewa au kunyanayaswa. Tuweni na huruma kwa viumbe hawa wa mwenyezi Mungu wanaoonewa bila sababu za msingi huku wakiwa hawawezi kujitetea kwa namna yoyote ile. Tukio la mtoto Nasra, ambaye Mungu amemuita kwake, liwe fundisho kwa watu wengine wanaofumbia macho ukatili kwa watoto na wanyonge.
Nawasilisha.
:yield:
"Law is all about arguments", let us wait and see(am not on their side any way)Kufuatia kifo cha mtoto Nasra, almaarufu kama mtoto wa boksi, kuna kila dalili kwamba kifo chake kimetokana na maradhi aliyoyapata wakati akiwa anaishi kwenye boksi. Kwa kuwa imethibitika kwamba mtoto alifariki kutokana na ugonjwa wa pumukufuatia kufungiwa kwenye mazingira machafu, kutoogeshwa na kupigwa na baridi masaa 24, na kwa kuwa wahusika waliokuwa wakimfanyia ukatili huo tayari walishakamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kula njama za kumtesa mtoto huyo mdogo asiyekuwa na hatia na asiyeweza kujitetea, mawakili wanaosimamia kesi hii watabadilisha mashitaka ya kesi na kuwa KESI YA MAUAJI YA KUKUSUDIA.
Adhabu kwa mtu anayeua kwa kukusudia ni KUNYONGWA MPAKA KUFA. Kwa hiyo, wahusika wanasubiri kunyongwa hadi kufa pindi hukumu ya kesi hii itakapotoka. Na kwa kuwa kuna ushahidi wa kutosha kuwatia hatiani hawa wanadamu wasokuwa na haya, wajiandae kupokea kitanzi ili liwe fundisho kwa washenzy wengine wenye tabia za kinyama kawa hawa wendawazimu.
NIONAVYO:
Natoa wito kwa watanzania wenzangu kutoa taarifa polisi haraka pindi waonapo ukatili wowote dhidi ya wanyonge, hasa watoto wadogo, ili sheria ichukue mkondo wake. Tatizo la watanzania walio wengi ni kwamba hatujaliani.
Unaweza ukamuona mzazi/mlezi akimtesa mtoto lakini ukakaa kimya. Kufanya hivyo ni kutomtendea haki yule kiumbe anayeonewa au kunyanayaswa. Tuweni na huruma kwa viumbe hawa wa mwenyezi Mungu wanaoonewa bila sababu za msingi huku wakiwa hawawezi kujitetea kwa namna yoyote ile. Tukio la mtoto Nasra, ambaye Mungu amemuita kwake, liwe fundisho kwa watu wengine wanaofumbia macho ukatili kwa watoto na wanyonge.
Nawasilisha.
:yield:
Kwani hoa wazazi wenyewe
wanajiteteaje? Wanasema kwa nini walimweka mwana wao mpendwa kwenye
boksi?