Kilichomuua ‘mtoto wa boksi’ chabainika; wahusika kunyongwa!

Mtoto amekufa kwa pumu (pneumonia) baada ya kufungiwa kwenye boksi na hao wendwazimu kwa miaka 4! Utasemaje kwamba hawajamuua wao? You can't be serious! Think BIG mkuu.

Hakuna nimonia ya miaka 4!!!! Huo ni uongo mkubwa sana.
 
Mimi sina imana kama amekufa.yule mlezi wa nasra pale muhimbili alikaririwa akisema na ninamnukuu..' Msinichukue mimi sitaki kwenda tena huko...' .hapa napata mawazo ya ushirikina zaidi.Wale wanaojinasibu kama wanatoa misukile mrudisheni nasra.

Huyu wa ukweli gwajima hawezi kumtoa,misukule yake ni ya dili.
 
sasa na yule baba mzaz ambaye mpaka mazishi amehudhuria vp???...hahusiki ..mbonayuko nje.kwa dhamana........

hili swali kawaulize poliCCM waliompa dhamana na kumrudisha mtaani aendelee kula bata na kuharibu ushahidi!
 
Angalau sasa unesema pneumonia japo nimonia is not chronic dzz,Lakini wengi tu wanalazwa na nimonia lakini hawafi nin kilijiri kwa nasra baada ya kupata chronic pneumonia?

hili nalo ni suala la kufuatilia. uzembe wa manesi na madaktari wa muhimbili pia utakuwa umechangia kifo cha mtoto nasra. ugonjwa wa kawaida kama pneumonia utaondoaje uhai wa mgonjwa aliyelazwa katika HOSPITALI YA TAIFA? itabidi madaktari nao wahojiwe kuhusu kifo hiki. mbona mafisadi hulazwa hapo muhimbili wakiwa na magonjwa ya kutisha lakini hawafi?
 
Huyu mtoto alikaa kwenye box miaka minne na hakufa!! Hebu madaktari watweleze kwani inasemekana ni kutokana na mabadiliko ya mazingira ya ghafla aliyopewa mtoto huyu akashindwa!

hiyo nayo ni sababu mwili wa binadamu ni kitu cha ajabu ndo maana kuna wengine wakitoka mkoa moja kwenda mwingine wanaweza umwa hata mafua au nozi kubadilika.... unaweza fikiria mwili wa huyo mtoto ulipata mabadiliko makubwa sana na mshtuko pia ndo maana akasepa aisee inaniuma sana
 
Cjui kama itakua hvo kama wauwaji wa arubino mpaka saiv uchunguz unaendelea hak dah hamna ktu
 


Hujanielewa, sijasema kuna uhalali wowote wa kumtesa mtoto yeyote yule, tena adhabu wanastahili kubwa tu. Nilikuwa najaribu kufigureout kilichopelekea wao kumfanyia huyo mtoto ukatili ilihali ana ndugu zake akiwemo baba yake. Na huyo baba yake hovyo kabisa, miaka yote hiyo hajui mwanae anaishi vipi!!!? Bure kabisa.........
 
Duniani kuna watu wana roho mbaya ajabu!!Maskini mtoto mdogo, Malaika wa Mungu kateseka..inasikitisha sana
 


Naona unawapa wauaji jinsi ya kujitetea vipi hili suala halijakukuzsa sana! yaani nina maana hujisikii uchungu aliopata huyo mtoto malaika?
 
Ninachoona mimi ni kua mungu alitaka kuwaumbua wanafiki hakutaka kumuuwa huyo mtoto kwenye mikono yao kiasi kwamba wangemzika bila watu kujua wangekimbia adhabu ya mateso walompa uyo mtoto kwa mda mrefu
 
Naona unawapa wauaji jinsi ya kujitetea vipi hili suala halijakukuzsa sana! yaani nina maana hujisikii uchungu aliopata huyo mtoto malaika?

ingekuwa mimi ndiye hakimu ninayesikiliza kesi hii isingemaliza hata mwezi 1 na ningehakikisha wahusika wote wanachezea kitanzi.
 
kumbe TZ sheria ya kunyongwa mpaka kufa ipo? km ndiyo hao waliohusika wanyongwe wakifariki miili yao icharangwecharangwe vipande vidogovidogo alafu viwekwe kwnye box theni vifukiwe ..ahsanteni nilikuwa sijui km sheria ya kunyongwa ipo hapa nchini kwetu
 
Inanikumbusha pia maelfu ya arbotions yanayofanyika!
 
"Law is all about arguments", let us wait and see(am not on their side any way)
 
Kwani hoa wazazi wenyewe wanajiteteaje? Wanasema kwa nini walimweka mwana wao mpendwa kwenye boksi?
 
Enyi watanzania wenzangu!!!! tushirikiane kutokomeza ukatili Kama alofanyiwa Nasra ...na sio huo tu, bali hata hayawani Kama yule wa Dar alokua anamlazimisha house girl kumstalehesha mbwa wake...wote hawa tuwafichue ili jamii ipate kutulia......
NB: MICHEPUKO INAFAA ILI KUKWEPA FOLENI NJIA KUU........
 
Kwani hoa wazazi wenyewe
wanajiteteaje? Wanasema kwa nini walimweka mwana wao mpendwa kwenye
boksi?

walilitumia box kama baby walker, hawakuwa na fedha za kununua za dukani ambazo huuzwa ghali na hazidumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…