Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,152
- 137,155
Joe hatodumu zaidi ya muhula mmoja.Upande wa tabia zake i agree.,
And Joe is the opposite of that
Na kama nilivyosema awali, watu hawakumpigia kura Joe.
Walipiga kura dhidi ya Trump.
Trump ni mtu wa ajabu sana.
Wakati mwingine huwa nadhani ana hitilafu ya kiakili.
Nikupe mfano mmoja tu, ingawa iko mingi sana.
Mapema mwaka huu ali-retweet tweet mmoja iliyomwonyesha mshabiki wake akisema “white power”.
Ni mtu gani mwenye akili timamu, achilia mbali nafasi aliyonayo kama Rais, anaweza ku retweet kauli ya kibaguzi namna hiyo?
Rais aliyepo madarakani na ambaye anagombea tena muhula wa pili, anafanya mambo kama hayo!
Alikuwa anategemea nini?
Joe wala hakuwa mgombea bora.
Na kawekwa tu hapo kama Rais wa mpito.
Lakini licha ya mapungufu yake yote, sidhani kabisa Joe anaweza kufanya mambo kama Trump afanyavyo.