momo2
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 424
- 294
Ndo zao hao na utafanya vzr na kujibu vzr mtihani wao ila kuitwa interview ya pili utasikia kwa wenzio kazi ipo na haya mashirika1) Vision
2) Mission,
3) Mafao yanayotolewa na PPF,
4) Schemes walizo nazo PPF,
5) Kima cha chini cha Kufungua Wote Scheme,
6) Masharti ya Mwanachama (Mfaidika) kupata fao la Elimu
7) %ge ya Uchangiaji kati ya Mwajiri na Mwajiriwa
8) ......
9) ......
10) ....
Sent using Jamii Forums mobile app