Kilichojiri Interview ya PPF

Kilichojiri Interview ya PPF

1) Vision
2) Mission,
3) Mafao yanayotolewa na PPF,
4) Schemes walizo nazo PPF,
5) Kima cha chini cha Kufungua Wote Scheme,
6) Masharti ya Mwanachama (Mfaidika) kupata fao la Elimu
7) %ge ya Uchangiaji kati ya Mwajiri na Mwajiriwa
8) ......
9) ......
10) ....
Ndo zao hao na utafanya vzr na kujibu vzr mtihani wao ila kuitwa interview ya pili utasikia kwa wenzio kazi ipo na haya mashirika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wakuu.

Kwa ambao mmenda interview za asubuhi tungependa mtupe mrejesho wa huko hiyo interview ya dakika 20 ipoje? ni aptitude test au ni interview ya namna gani?
majina mbona sijayaona mkuu...au nyie taarifa mmezipata wapi?
 
wewe uliona wako serious kweli na zile pepa zao sahau utasikia tu watu wapo kazini
 
Screenshot_20170906-111504.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom