Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Umetumwa lakini tutakusaidia usiwe na wasi
Kwanza hapakuwepo na matatizo makubwa sana ya kuwafanya watu waichukie ccm kama ilivyo sasa,pesa ilikuwa na thamani na ufisadi haukuwa mkubwa kama sahivi
Pili elimu ilikuwa bado ndogo kwa wananchi hvyo walikuwa hawana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo tofauti na sasa wasomi ni wengi karibu kila familia kuna mtu kapita ama anasoma sec n,k
Tatu kuwepo kwa uhuru wa vyombo vya habari kumewafanya wananchi kuelewa mambo mengi waliyokuwa hawayajuhi yaliyokuwa yakiwafanya kuwa maskini k.v. rushwa,dili feki,ufisadi,kuuzwa kwa nchi yao n.k
Nategemea wenzangu wataelezea na mapungufu mengi ya nccr na kufa kwake
Labda ukisoma kitabu cha Ndimala Tegambwage, cha Mtafaruku na Hatima ya Mageuzi Tanzania utafahamu kwa undani zaidi. Pamoja na hayo yote, nikuhakikishie NCCR-Mageuzi itaendelea kuwepo.
Wazee kwa wale waliokuwa wafuatiliaji wa siasa zetu kipindi cha between 95 to 2000 naomba mnisaidie kwa hili! Ni sababu zipi zilisababisha kuanguka kwa lile chama ambalo lilikuwa tishio hadi kwa mkuu Nyerere? Is it unafiki?ulafi wa madaraka?uroho wa fedha?ukabila?ukanda?uzushi?......?pls wazee naomba mnisaidia all the details and stories behind anguko la nccr ya enzi hizo? CAN HISTORY REPEAT ITSELF TO CHADEMA? TOFAUTI KUBWA NI NINI KATI YA CHADEMA YA SASA NA THAT NCCR???
Mkuu mwaka 1995 Watanzania walikuwa na hamasa kubwa sana ila tu tatizo ilikuwa ni kwamba walikuwa wakimpenda mtu na si sera. Watanzania walimpenda Mrema. Nakumbuka siku alipojiunga na NCCR mageuzi mtaa wa Aggrey siku hiyo kadi za NCCR ziliuzwa kama karanga.
Vyombo vya habari hasa magazeti yalikuwepo mengi tu: Tazama, Motomoto, Majira, Cheche, n.k. Kuhusu suala la elimu ni kweli walikuwepo wachache ukilinganisha na sasa.
Watu wanasema Marando alichangia anguko kubwa la NCCR baada ya varangati kule Tanga na Mrema kutupwa nje kupitia dirishani. Ila mimi naamini NCCR ilikufa kwa sababu ya kugombea Ruzuku. Ruzuku kwenye Chama ni sumu kubwa na inawagombanisha watu.
Nakumbuka wakati huo NCCR kulikuwa na watu kama Anthony Komu (yupo CDM kwa sasa) na Mabere Marando na hawa walikuwa na nafasi yao kubwa tu katika kuanguka kwa NCCR Mageuzi.
Mkuu CHADEMA pia kuna fukuto kuhusu Ruzuku: Wangwe (mwenyezi mungu amrehemu) aliipigia kelele kwamba iende kuimarisha Chama mikoani badala ya kubaki makao makuu na kulipana madeni ya helcopita; bahati mbaya hatunaye. Kuna mambo yanenda chinichini kwamba ruzuku inaliwa na wakubwa kwa njia ya posho. Wakubwa wanalipwa posho kubwa wakati wakitekeleza majukumu ya chama lakini wa chini wanatakiwa wajitolee!!
Watu wameichoka CCM lakini CHADEMA wasipoangalia masuala ya posho na ruzuku yatawafarakanisha.
Samahani mkuu, sina softcopy, kama uko Tanzania fika makao makuu NCCR- Mageuzi Ilala. Omba hicho kitabu watakupatia.
George weka hicho kitabu hapa kama unacho!
<br />Umetumwa lakini tutakusaidia usiwe na wasi<br />
<br />
Kwanza hapakuwepo na matatizo makubwa sana ya kuwafanya watu waichukie ccm kama ilivyo sasa,pesa ilikuwa na thamani na ufisadi haukuwa mkubwa kama sahivi<br />
<br />
Pili elimu ilikuwa bado ndogo kwa wananchi hvyo walikuwa hawana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo tofauti na sasa wasomi ni wengi karibu kila familia kuna mtu kapita ama anasoma sec n,k<br />
<br />
Tatu kuwepo kwa uhuru wa vyombo vya habari kumewafanya wananchi kuelewa mambo mengi waliyokuwa hawayajuhi yaliyokuwa yakiwafanya kuwa maskini k.v. rushwa,dili feki,ufisadi,kuuzwa kwa nchi yao n.k<br />
<br />
Nategemea wenzangu wataelezea na mapungufu mengi ya nccr na kufa kwake
<br /><font size="3"><br />
NCCR imesambaratika lini wewe au unaharisha maneno! NCCR ipo labda CCJ ndio imesambaratika.</font>
Labda ukisoma kitabu cha Ndimala Tegambwage, cha Mtafaruku na Hatima ya Mageuzi Tanzania utafahamu kwa undani zaidi. Pamoja na hayo yote, nikuhakikishie NCCR-Mageuzi itaendelea kuwepo.
Mkuu mwaka 1995 Watanzania walikuwa na hamasa kubwa sana ila tu tatizo ilikuwa ni kwamba walikuwa wakimpenda mtu na si sera. Watanzania walimpenda Mrema. Nakumbuka siku alipojiunga na NCCR mageuzi mtaa wa Aggrey siku hiyo kadi za NCCR ziliuzwa kama karanga.
Nakumbuka wakati huo NCCR kulikuwa na watu kama Anthony Komu (yupo CDM kwa sasa) na Mabere Marando na hawa walikuwa na nafasi yao kubwa tu katika kuanguka kwa NCCR Mageuzi.
Mkuu CHADEMA pia kuna fukuto kuhusu Ruzuku: Wangwe (mwenyezi mungu amrehemu) aliipigia kelele kwamba iende kuimarisha Chama mikoani badala ya kubaki makao makuu na kulipana madeni ya helcopita; bahati mbaya hatunaye. Kuna mambo yanenda chinichini kwamba ruzuku inaliwa na wakubwa kwa njia ya posho. Wakubwa wanalipwa posho kubwa wakati wakitekeleza majukumu ya chama lakini wa chini wanatakiwa wajitolee!!
Watu wameichoka CCM lakini CHADEMA wasipoangalia masuala ya posho na ruzuku yatawafarakanisha.