Kilichofutikwa ni uvundo

Lakini kuna mengine yamefichika hili usiyaone.
 
Naona umejazilizia kabisa na kuongeza nyama nyama, dhana nzima ya uzi huu sasa imekamilika.
 
Ukiwa unaugua ukimuomba ndugu yako laki 2 tu nadhani hata kukuona anaweza asije tena ila anapokufa mgonjwa,,upendo wa kinafiki anaoneshwa Hali ya kua hawezi tena ata kusema asante
 
Ukiwa unaugua ukimuomba ndugu yako laki 2 tu nadhani hata kukuona anaweza asije tena ila anapokufa mgonjwa,,upendo wa kinafiki anaoneshwa Hali ya kua hawezi tena ata kusema asante
Anakuja pia na jeneza la 1.M
 
Ukiwa unaugua ukimuomba ndugu yako laki 2 tu nadhani hata kukuona anaweza asije tena ila anapokufa mgonjwa,,upendo wa kinafiki anaoneshwa Hali ya kua hawezi tena ata kusema asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…