Polis walichakachua mkanda wa mauaji na kuficha ukweli wa kilichotokea Arusha kwani ukiangalia picha ktk gazeti la Mwanahalisi ya leo Jtano haf ulinganishe na mkanda waliotoa polis,ka kweli ni mtz halisi anayeipenda nchi hii na watu wake lazima utokwe na machozi kwani walichofanya polis ni zaidi ya unyama! WanaJF lazima ifike wakati tuseme ukweli bila kuweka ushabiki wa kccm kwani sidhani kama walichofanyiwa wanaarusha ni sahihi! Nampongeza Bwana Kubenea kwa ujasiri wake ktk kuanika maovu yaliyofanywa na polis bila kuficha! Tukipata wanahabari wengi wa aina ya Kubenea nchi hii inaweza kubadilika. Namwomba ZOMBA ambaye amekuwa akishabikia mauaji ya arushe asome mwanahalis haf atafakari kisha atoe hoja zake! Namalizia kwa kusema,"DAMU ILIYOMWAGIKA ARUSHA KAMWE HAITAPOTE BURE!"