GE2025 Kiliba: Tutamlinda na kumtetea rais Samia

GE2025 Kiliba: Tutamlinda na kumtetea rais Samia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,436
Reaction score
5,229
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa elimu ya Juu nchini TAHLISO na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama asemewe Geofrey Kiliba amehoji uhalali wa baadhi ya wananchi wanaomtusi na kutoa lugha za fedheha kwa Viongozi wa serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, akisisitiza umuhimu wa kuwaheshimu na kuwalinda Viongozi wa serikali.

Akibainisha mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar Es Salaam leo Jumatatu Agosti 18, 2025.

 
Maslahi kwanza....
Mjengo Kigamboni, watoto shule EMS, Gari ya kupigia misele,
Wanyoge wasubiri .....
 
Of course kwa nusuru ulaji wake na nafasi yake ya uchawa itabidi amlinde na kumtetea rais uchwara!
 
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa elimu ya Juu nchini TAHLISO na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama asemewe Geofrey Kiliba amehoji uhalali wa baadhi ya wananchi wanaomtusi na kutoa lugha za fedheha kwa Viongozi wa serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, akisisitiza umuhimu wa kuwaheshimu na kuwalinda Viongozi wa serikali.

Akibainisha mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar Es Salaam leo Jumatatu Agosti 18, 2025.

Mlishwa makombo mwingine huyu hapa
 
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa elimu ya Juu nchini TAHLISO na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama asemewe Geofrey Kiliba amehoji uhalali wa baadhi ya wananchi wanaomtusi na kutoa lugha za fedheha kwa Viongozi wa serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, akisisitiza umuhimu wa kuwaheshimu na kuwalinda Viongozi wa serikali.

Akibainisha mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar Es Salaam leo Jumatatu Agosti 18, 2025.

Huyu mtoto bado ananuka maziwa ya mama yake
 
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa elimu ya Juu nchini TAHLISO na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mama asemewe Geofrey Kiliba amehoji uhalali wa baadhi ya wananchi wanaomtusi na kutoa lugha za fedheha kwa Viongozi wa serikali akiwemo Rais Samia Suluhu Hassan, akisisitiza umuhimu wa kuwaheshimu na kuwalinda Viongozi wa serikali.

Akibainisha mafanikio makubwa yaliyopatikana katika kipindi cha miaka minne ya Rais Samia wakati akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar Es Salaam leo Jumatatu Agosti 18, 2025.

Huyo kiliba tumbo atamtetea rais kama nani aache kulinda ukoo na familia yake inayoteseka.kwa njaa huko kisiju amtetee saa100
 
Huyu ni muha mhamiaji toka Burundi.
Basi hajitambui, anao ubavu wa kumlinda mama kama sio unafiki wa kiwango cha juu,
Ulinzi wa mama tayali upo na wala yeye hata hatua miamoja hawezi kusogea, wasitudanganye.
But he is an opportunist. Baada ya uchaguzi lolote linaweza kutokea
 
Back
Top Bottom