GE2025 Kiliba: Oktoba 29 tutarusha makombora kuwajibu wahuni wanaotaka kuvunja amani

GE2025 Kiliba: Oktoba 29 tutarusha makombora kuwajibu wahuni wanaotaka kuvunja amani

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Nchi hii ukidai haki unaitwa Muhuni kisha kuna kikundi kitakwambia wanakushughulikia alafu Mkuu wao anamaliza kwa kusema anaongoza kwa kutumia 4R, hakutakuwa na nywinywi wala nywi nywinywi :FeelsWeirdMan:

---------------

Rais wa Jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya Juu Tanzania TAHLISO ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba amesema Jumuiya hiyo kwa pamoja wameibeba ajenda ya kushiriki kikamilifu katika uchaguzi Mkuu wa Tanzania pamoja na kushiriki katika kuhakikisha amani, utulivu na usalama unakuwepo siku ya Oktoba 29, 2025

Kiliba ameyasema hayo leo Oktoba 24, 2025 wakati wa Kongamano la amani ililoandaliwa na Jumuiya hiyo chini ya Uratibu wake, akisisitiza kuwa hawajatishika kushiriki katika uchaguzi huo kutokana na kauli ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania, akisema wamekubaliana kuwa Oktoba 29, ni siku ya kuwajibu wale wote wanaotishia amani nchini.

" Mgeni rasmi nikuambie kuwa tumejipanga sisi Vijana wa Vyuo na Vyuo Vikuu maarufu kama GenZ kuwa sisi tumebarikiwa maarifa, busara na ustaarabu na tumedhamiria kushirikiana na Vyombo vya ulinzi na usalama na serikali kuhakikisha tunavuka salama. Tunafahamu kuwa kuna matishio yanayoendelea lakini hatuna wasiwasi ma Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama na tumemsikia pia Dkt. Samia akituhakikishia usalama." Amesisitiza Rais huyo wa TAHLISO.

Akieleza kuwa wapo timamu na jasiri kuelekea Oktoba 29, 2025, Kiliba amesema wataitumia siku hiyo kurusha Makombora matatu ya kura kwa Diwani, Mbunge na Mgombea Urais wanayeona kuwa anawafaa ambaye ni Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayetokana na Chama Cha Mapinduzi CCM, akisema makombora hayo yatakuwa jibu sahihi na muafaka litakalowaangamiza wale wote wanaoenda kinyume na ratiba za nchi na wenye kuhamasisha uvunjifu wa amani


 
Nchi hii ukidai haki unaitwa Muhuni kisha kuna kikundi kitakwambia wanakushughulikia alafu Mkuu wao anamaliza kwa kusema anaongoza kwa kutumia 4R, hakutakuwa na nywinywi wala nywi nywinywi :FeelsWeirdMan:

---------------

Rais wa Jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya Juu Tanzania TAHLISO ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba amesema Jumuiya hiyo kwa pamoja wameibeba ajenda ya kushiriki kikamilifu katika uchaguzi Mkuu wa Tanzania pamoja na kushiriki katika kuhakikisha amani, utulivu na usalama unakuwepo siku ya Oktoba 29, 2025

Kiliba ameyasema hayo leo Oktoba 24, 2025 wakati wa Kongamano la amani ililoandaliwa na Jumuiya hiyo chini ya Uratibu wake, akisisitiza kuwa hawajatishika kushiriki katika uchaguzi huo kutokana na kauli ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania, akisema wamekubaliana kuwa Oktoba 29, ni siku ya kuwajibu wale wote wanaotishia amani nchini.

" Mgeni rasmi nikuambie kuwa tumejipanga sisi Vijana wa Vyuo na Vyuo Vikuu maarufu kama GenZ kuwa sisi tumebarikiwa maarifa, busara na ustaarabu na tumedhamiria kushirikiana na Vyombo vya ulinzi na usalama na serikali kuhakikisha tunavuka salama. Tunafahamu kuwa kuna matishio yanayoendelea lakini hatuna wasiwasi ma Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama na tumemsikia pia Dkt. Samia akituhakikishia usalama." Amesisitiza Rais huyo wa TAHLISO.

Akieleza kuwa wapo timamu na jasiri kuelekea Oktoba 29, 2025, Kiliba amesema wataitumia siku hiyo kurusha Makombora matatu ya kura kwa Diwani, Mbunge na Mgombea Urais wanayeona kuwa anawafaa ambaye ni Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayetokana na Chama Cha Mapinduzi CCM, akisema makombora hayo yatakuwa jibu sahihi na muafaka litakalowaangamiza wale wote wanaoenda kinyume na ratiba za nchi na wenye kuhamasisha uvunjifu wa amani


Hivi TAHLISO siku hizi ni tawi la UVCCM au ndiyo kutamalaki kwa uchawa?
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Nchi hii ukidai haki unaitwa Muhuni kisha kuna kikundi kitakwambia wanakushughulikia alafu Mkuu wao anamaliza kwa kusema anaongoza kwa kutumia 4R, hakutakuwa na nywinywi wala nywi nywinywi :FeelsWeirdMan:

---------------

Rais wa Jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya Juu Tanzania TAHLISO ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba amesema Jumuiya hiyo kwa pamoja wameibeba ajenda ya kushiriki kikamilifu katika uchaguzi Mkuu wa Tanzania pamoja na kushiriki katika kuhakikisha amani, utulivu na usalama unakuwepo siku ya Oktoba 29, 2025

Kiliba ameyasema hayo leo Oktoba 24, 2025 wakati wa Kongamano la amani ililoandaliwa na Jumuiya hiyo chini ya Uratibu wake, akisisitiza kuwa hawajatishika kushiriki katika uchaguzi huo kutokana na kauli ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania, akisema wamekubaliana kuwa Oktoba 29, ni siku ya kuwajibu wale wote wanaotishia amani nchini.

" Mgeni rasmi nikuambie kuwa tumejipanga sisi Vijana wa Vyuo na Vyuo Vikuu maarufu kama GenZ kuwa sisi tumebarikiwa maarifa, busara na ustaarabu na tumedhamiria kushirikiana na Vyombo vya ulinzi na usalama na serikali kuhakikisha tunavuka salama. Tunafahamu kuwa kuna matishio yanayoendelea lakini hatuna wasiwasi ma Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama na tumemsikia pia Dkt. Samia akituhakikishia usalama." Amesisitiza Rais huyo wa TAHLISO.

Akieleza kuwa wapo timamu na jasiri kuelekea Oktoba 29, 2025, Kiliba amesema wataitumia siku hiyo kurusha Makombora matatu ya kura kwa Diwani, Mbunge na Mgombea Urais wanayeona kuwa anawafaa ambaye ni Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayetokana na Chama Cha Mapinduzi CCM, akisema makombora hayo yatakuwa jibu sahihi na muafaka litakalowaangamiza wale wote wanaoenda kinyume na ratiba za nchi na wenye kuhamasisha uvunjifu wa amani


Wahuni ni waimbao amani huku wakiogopa kutamka neno haki!
 
Nchi hii ukidai haki unaitwa Muhuni kisha kuna kikundi kitakwambia wanakushughulikia alafu Mkuu wao anamaliza kwa kusema anaongoza kwa kutumia 4R, hakutakuwa na nywinywi wala nywi nywinywi :FeelsWeirdMan:

---------------

Rais wa Jumuiya ya wanafunzi wa elimu ya Juu Tanzania TAHLISO ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Asemewe Bw. Geofrey Kiliba amesema Jumuiya hiyo kwa pamoja wameibeba ajenda ya kushiriki kikamilifu katika uchaguzi Mkuu wa Tanzania pamoja na kushiriki katika kuhakikisha amani, utulivu na usalama unakuwepo siku ya Oktoba 29, 2025

Kiliba ameyasema hayo leo Oktoba 24, 2025 wakati wa Kongamano la amani ililoandaliwa na Jumuiya hiyo chini ya Uratibu wake, akisisitiza kuwa hawajatishika kushiriki katika uchaguzi huo kutokana na kauli ya Rais Samia ambaye pia ni Amiri Jeshi Mkuu wa Tanzania, akisema wamekubaliana kuwa Oktoba 29, ni siku ya kuwajibu wale wote wanaotishia amani nchini.

" Mgeni rasmi nikuambie kuwa tumejipanga sisi Vijana wa Vyuo na Vyuo Vikuu maarufu kama GenZ kuwa sisi tumebarikiwa maarifa, busara na ustaarabu na tumedhamiria kushirikiana na Vyombo vya ulinzi na usalama na serikali kuhakikisha tunavuka salama. Tunafahamu kuwa kuna matishio yanayoendelea lakini hatuna wasiwasi ma Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama na tumemsikia pia Dkt. Samia akituhakikishia usalama." Amesisitiza Rais huyo wa TAHLISO.

Akieleza kuwa wapo timamu na jasiri kuelekea Oktoba 29, 2025, Kiliba amesema wataitumia siku hiyo kurusha Makombora matatu ya kura kwa Diwani, Mbunge na Mgombea Urais wanayeona kuwa anawafaa ambaye ni Mgombea Urais Dkt. Samia Suluhu Hassan anayetokana na Chama Cha Mapinduzi CCM, akisema makombora hayo yatakuwa jibu sahihi na muafaka litakalowaangamiza wale wote wanaoenda kinyume na ratiba za nchi na wenye kuhamasisha uvunjifu wa amani


Matako yake huyu, tutamkata pumbavu zake,
 
Atakayevunjwa miguu...
Aje pm ntagawa wheel chair bure kwa wahanga
 
Majizi ya ccm siyo ya kuyatetea, bahati yao yamekutana na upinzani uliojaa Nyumbu waoga
 
“…Tahadhari:
Kwa wote watao tiki na hiyo TAHLISO yao, baada ya uchaguzi kusiwepo tena na omba omba ya kutaka msaada eti maisha magumu.

Sitataka kusikia tena hivi habari za vyuma vimekaza, kiongozi Nisaidie, mkuu nihurumie.

Kufanya maamuzi hayo hayo Kwa miaka zaidi ya 60 Halafu mtegemee vyuma kutokaza itakuwa ni utaahira wa hali ya juu sana Kwa kiwango cha 5G… Mwenye kusikia na asikie. Tahadhari imetokewa, ipokee kama ilivyo…”

Ni maneno toka mojawapo ya Muhenga niliyotumiwa kwenye Whatsap yangu nikaona ni ujumbe maridadi kuuleta humu ndani…
 
Back
Top Bottom