Sikutegemea wala sikudhani kama kuna vitu kama hivi, jamani!!!
Haya fest ledi wetu kula vitu, ila kumbe u-mrembo!!! waooo!!
I like this ila mhabarishaji naomba unifahamishe hawa watu walikua wapi siku hiyo maana naona kama wako maeneo flani ambayo hua nami natembelea siku za mapumziko!!!:flame: