Kila wikendi anataka nifanye nae mapenzi

Kila wikendi anataka nifanye nae mapenzi

Binti mmoja (jina kapuni) mzuri wa viwango, nilimtongoza kanizungusha balaa. Kidume nikapotezea nikajua nimechezea za Uso. Baada ya wiki kupita, kanitafuta kwa Simu, akaomba tuonane ana kwa ana kuwa analo jambo la muhimu.
Nikaitikia wito. Stori aliyonipa ni kwamba yeye, hakuwahi kumpenda mtu, zaidi ya kutolewa bikra kwa nguvu (forced sex) na kijana mmoja waliyeishi nae jirani zamani hizo.
Hivyo akaomba mahusiano yangu na yeye yawe ya pole pole na si haraka kwani bado ana chuki na wanaume. Aliongea kwa uchungu, huku machozi yakimtoka. Baada ya kumbembeleza tulijikuta tukifanya mapenzi mimi na yeye bila kupanga tena kavu kavu. Baada ya tendo hilo hakuamini kilichotokea na aliondoka kwa uchungu mkubwa akidai na Mimi ni wale wale. Kiufupi sikumsoma. Iweje aingie King halafu ananilaumu.

Anyway nikapotezea, coz hata Simu zangu akawa hapokei, waka text hajibu. Nikatulia zangu. Baada ya wiki mbili akanipigia Simu, akiomba msamaha eti hakujielewa. Nikaona haina haja kuweka bifu na binti, nikapotezea. Maisha yakaendelea.

Sasa kila wikiendi akawa anakuja kwangu, tunagegedana, nikimpa mshiko anaukataa, hata nikimtumia vocha hazitaki wala Zawadi yoyote hataki zaidi ya mgegedo. Basi tumekuwa tukifanya hivyo kwa muda mrefu sana. Kitu kinachonishangaza hapa ni huo ujasiri wa binti kukataa tip kutoka kwa dume unatoka wapi?

Je, kazi yangu ni kugegeda tu na matumizi anatoa mwingine?
Au, nini kipo nyuma ya pazia

Nawasilisha, nisaidiwe kujua tabia hii maana yake nn?

gori la mkono hilo
 
Yaani mapenzi yamekuwa biashara kiasi kwamba binti asipoomba hela mtu anaanza kuwa na mashaka.

Wanawake wasiotaka senti zetu wapo, Wana kazi zao, pesa zao na maisha yao. Nilikuwa na binti mmoja mdogo mdogo hivi, anafundisha chuo. Hakubali kutolewa out bila ya yeye kuwa na hela, lazima kitu fulani alipie, either drinks or food.

Tulishindana mambo mengine, ila kwa maswala ya fedha alikuwa unique.
 
Wakipokea wanapenda hela, wakikataa nitatizo pia.
 
Kaka huyo binti ni janja sana u better be careful kwani anakuvizia tu maana kuna siku atakupiga bonge la mzinga ambalo thamani yake itazidi hizo tip zako mara 100. Keep watching bro
 
Kapime mkuu isije ikawa anakuonea huruma hyo pesa uje tumie kwa lishe na matibabu
 
duu! kila w/end..ina maana hanaga ata siku zake mkuu?:lock1:.............wengine mna bahati aiseee......
 
Wanaume bhana mkiombwa hela mnaanza kulalamika mabinti wa siku hizi ni omba omba na msipoombwa mnaanza kushangaa kwann sasa jema kwenu lipi??????!!!!

Hao sio wanaume ni watoto wa kiume
 
Anakutafutia dildo akugegede na wewe. Kila mla cha mwenzie na chake pia huliwa

Hahahahahahahahahahahahahhahah ahahahahahahahahahahah
We buibui kweli

Afanyeje eti??
 
Mm nadhani ingekuwa vyema kama ungeleta na namba yake kwa pm, ili tukusaidie zaidi! Au unaonaje?! Pengine wewe ni wale wa t vigoli viwili, tatu hadi kuchee.., number yake plz! Hatakusumbua tena!
 
Back
Top Bottom