Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,273
- 13,847
natumia 15GB per week kwenye 4G networkNi bure mkuu, internet yako ni unlimited na bandwidth kubwa?
Mi natumia neoiptv bei haitofautiani na hiyo yako.
natumia 15GB per week kwenye 4G networkNi bure mkuu, internet yako ni unlimited na bandwidth kubwa?
Mi natumia neoiptv bei haitofautiani na hiyo yako.
Kama una afford bora ukae na premium tu, vitu vya bure siku zote sio reliable.Nitajaribu japo kwenye hii kwangu ya mwaka niliyolipia, natumiaga BT sport au Bein Sports kutazama Europa
Kama una afford bora ukae na premium tu, vitu vya bure siku zote sio reliable.
ndio inawezekana, unaweza nitajia aina ya tv na simu?Chief, inawezakana kutumia simu kama chanzo cha intaneti kwenye smart TV? Nifanyeje ili ku connect kama inawezakana?
Ni TCL Android smart TV na simu ni Redmi note 4ndio inawezekana, unaweza nitajia aina ya tv na simu?
Funga antenna zile za zamani, na search kama uko mjini mjini utakamata local channelNimenunua hii Tv. Nimeona ina king'amuzi ndani sasa naomba maujanja yakutumia hicho king'amuzi . Natumia king'amuzi cha Azam. Je nikiongeza -LND- kwenye dish la Azam nitapata chanel za free au nitumie njia ipi kupata chaneli za free kwenye iyo tv . Nitashukuru kwa mawazo yenu na elimu kutoka kwenu Asante.View attachment 1136204
Kina DVBT2 na s2 hivyo vyote antenna na lnb unaweza tumia.Nimenunua hii Tv. Nimeona ina king'amuzi ndani sasa naomba maujanja yakutumia hicho king'amuzi . Natumia king'amuzi cha Azam. Je nikiongeza -LND- kwenye dish la Azam nitapata chanel za free au nitumie njia ipi kupata chaneli za free kwenye iyo tv . Nitashukuru kwa mawazo yenu na elimu kutoka kwenu Asante.View attachment 1136204
Kiongozi.Kina DVBT2 na s2 hivyo vyote antenna na lnb unaweza tumia.
Kwenye dish la azam utapata tu chanell zile zile ambazo unazoziona kwenye other chanell.
Bora ufuate ushauri wa mdau hapo juu kuweka antenna ili upate baadhi ya chanell za Star times.
Ndio lakini kwa njia official,Kiongozi.
Hivi naweza kupakuwa movie kwenye prime au Netflix kisha nikaweza kuiangalia kwenye Tv?
Fafanua netflix ya simu ni built in ap au ni app ya kudownload fafanua mwalimu .Ndio lakini kwa njia official,
Soma hapa
How to use a mobile device to watch Netflix on a TV
Learn how to watch Netflix on your TV or display using your mobile phone or tablet.help.netflix.com
Pia mkuu Netflix wanaruhusu kudownload kwenye simu, hivyo unadownload tu kisha connect simu na tv kwa Miracast ama wifi direct kisha play kwenye simu itaonekana kwenye tv.
Swali, Kama una Netflix kwenye simu kwanini usiieke kwenye tv pia? Au tv yako sio smart?
Ni inbuilt unadownloas via Netflix yenyew.Fafanua netflix ya simu ni built in ap au ni app ya kudownload fafanua mwalimu .
Tuzidi kuongeza maarifa.
Ni app ya kudownload na kulipia mkuu,Fafanua netflix ya simu ni built in ap au ni app ya kudownload fafanua mwalimu .
Tuzidi kuongeza maarifa.
So kwa sasa haiko applicable kwetu Boss au tayari.Duuh dunia inabadilikaNi app ya kudownload na kulipia mkuu,
-Unadownload kwenye simu ipo play store
-unalipia Kama dola 8 kwa mwezi
-unaona baadhi ya movies na TV series kihalali.
Ukishalipia unaweza kushare na wenzako, tegemea na package nyengine watu wawili, nyengine wanne etc. Na unaweza kuangalia kwenye simu, tv, tablet, computer etc
Sema wameanza na package ya simu tu, imeanza huko India kwa chini ya dola 3, hivyo ikija huku kwetu inaweza kuwa around 6,000 kwa mwezi.
Ipo mkuu ila ndio kwa dola 8 (20,000).So kwa sasa haiko applicable kwetu Boss au tayari.Duuh dunia inabadilika
Tutasubiri hiyo ila bado ni sio cheaper kwa mazingira yetu ya kitanzania.Ipo mkuu ila ndio kwa dola 8 (20,000).
Hio ya Bei rahisi ndio bado haijakuja
Ipo namna ya kuzipata kwa dola 1 ama 2, ya UHD trial ya mwezi unayotumia Hadi watu 4,Tutasubiri hiyo ila bado ni sio cheaper kwa mazingira yetu ya kitanzania.