channels za nyumbani ziko offline, si unajua tena bongo ni mizinguo tu. Azam sport HD bado iko ON na moja ya kenya inaitwa Ebru, zingine ziko offline.Naona channels za nyumbani sasa zote hazipatikani. Mwanzoni angalau Star tv na Azam two zilikuwa zinapatikana lakini zote giii. Kulikoni?
Wanaija na wasauzi wanajitahidi sana kwa hili.channels za nyumbani ziko offline, si unajua tena bongo ni mizinguo tu. Azam sport HD bado iko ON na moja ya kenya inaitwa Ebru, zingine ziko offline.
Hao wapo juu kuliko sisi ktk teknolojiaWanaija na wasauzi wanajitahidi sana kwa hili.
kama una line ya airtel shilingi 500 unaangalia local tv kwa sikuHao wapo juu kuliko sisi ktk teknolojia
Tatizo mkuu hapa nilipo airtel ni jipukama una line ya airtel shilingi 500 unaangalia local tv kwa siku
Kama kuna ujanja wa kuweka salio ktk halotel au voda halafu nitazame local channels ktk airtel app. naomba mnijuze wadaukama una line ya airtel shilingi 500 unaangalia local tv kwa siku
hapana haikubali nimejaribu, nimesniff na wireshark pia sijaambulia kitu. sina simu ya android kwa sasa, mtu anaweza akaidownload ajaribu kucapture packet kama atajua wanatumia adress gani. unaweza kuta url zake hazina security ni app tu.Kama kuna ujanja wa kuweka salio ktk halotel au voda halafu nitazame local channels ktk airtel app. naomba mnijuze wadau
Tatizo sio kwa bongo bali watz waliopo nje na walikuwa wanafaidi kupitia Kodi.kama una line ya airtel shilingi 500 unaangalia local tv kwa siku
Niliwahi kuitumia ile app. ya ttcl lakini bila kujiunga wiki moja wakanifutilia mbali yani wanadai username na passwordhapana haikubali nimejaribu, nimesniff na wireshark pia sijaambulia kitu. sina simu ya android kwa sasa, mtu anaweza akaidownload ajaribu kucapture packet kama atajua wanatumia adress gani. unaweza kuta url zake hazina security ni app tu.
Updated Bein Sport HD Links
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD1
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/1.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT2
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/307.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD2
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/2.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT3
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/308.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD3
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/3.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT4
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/309.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD4
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/4.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT5
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/310.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD5
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/5.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT6
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/311.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD6
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/6.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT7
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/312.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD7
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/7.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT8
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/313.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD8
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/8.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT9
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/314.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD9
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/9.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT10
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/301.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD10
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/10.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT11
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/302.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD11
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/11.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT12
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/303.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD12
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/12.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT13
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/304.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,B_Sports_HD13
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/13.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT14
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/305.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_SPORT15
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/306.ts
[HASHTAG]#EXTINF[/HASHTAG]:-1,Ar-B_Sport16
http://camerta.com:8000/live/m2et002/m2et002/16.ts
Hiyo bei ni kwa siku?View attachment 395871View attachment 395871 yani wadau nimefanikiwa kudownloa app ya vodacom simutv nikalipia tsh 299 nimepata local channels 4. Channel 10, TBC, TVZ na Chaneli ya sabato
kwa mara ya kwanza natoa hii ktk JF / Angalia sport/ent/movies/documentary bure ktk webisite premium ya kulipia kwanza jiandikishe register.
ingia hapa:
https://livego.tv/signup.html
itakuuliza detail za credid card ingiza hizi details:
Visa: 4699 3791 2199 0127
cvv: 131
exp: 09/18
name: LAUREN WHITE
kwa maelezo zaidi mtasoma ktk hio website.
thanks
skydmx
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.
Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.
Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.
Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?
Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.
KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi
Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
Hio hapo juu sky sport 3
Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.
Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli
Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
kutokana na request nyingi za watu nita updates hapa mara kwa mara plugins ambazo zipo avtive
1.DNA TV
hii ipo active nimetest chanell kama BT sport na Sky sport zinafanya kazi vizuri tu. install toka hapa
Tutorial How to Install DNA TV for Kodi
ina tatizo la kuandika servel full sababu traffic ni kubwa hivyo ikiandika hivyo angalia chanell nyengine au endelea kuclick hadi ikubali.
pia kwenye repository yake kuna clone za IPTV stalker ila sijazitest.
2.PHOENIX TV
kama uli install phoenix kama .zip file pengine sasa hivi huoni kitu utahitajika kueka version mpya, tumia hii link
Tutorial How to Install Phoenix Kodi XBMC
nimetest chanell za movie na mpira zinafanya kazi
3.ISRAEL LIVE TV
sio mbaya ukiwa nayo kama backup kwenye chanell zake za sports kuna chanell za portugal huwa zinaonesha mpira japo quality si nzuri.
Tutorial How to Install IsraeLIVE Video Add-On Kodi
Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
jinsi ya kuangalia mpira kwa kutumia acestream(torrent)
watu wanalalamika matatizo ya buffering kwenye plugin za bure kodi kuna njia nyengine nzuri ya kustream mpira ambayo unatumia p2p kama torrent vile ila kabla hujaamua kuitumia elewa mambo haya
1.uzuri wake
njia hii haitumii server hivyo hakuna overload kwamba mkiwa wengi iwe slow, badala yake mkiwa wengi yenyewe ndio inakuwa na speed sababu mnarushiana hiyo stream wenyewe kwa wenyewe. concept yake ni kama torrent unapodownload hapo hapo unam uploadia mwenzako
hii acestream ina quality kubwa sana mara nyingi stream zake zinakuwa ni hd au full hd hivyo kama una flat tv au simu/laptop/tablet ambazo ni high end utaenjoy
2.ubaya wake
-inakula sana bundles inaweza kumaliza zaidi ya 1gb kwa match sababu unadownload na ku upload kwa wakati mmoja japo unaweza kuamua usiupload uwe una download tu
-mkiwa wachache inaweza kuwa slow
3. ombi, kama kuna mtu anafahamu source ya link za acestream ambazo sio hd kwa watu wasio na bundle kubwa atuekee kwa faida ya wengine.
jinsi ya kueka acestream
-download aceplayer (ni modified version ya vlc) toka hapa
Ace Stream
-link za mechi husiku utazipata siku ya mechi link hizi
http://www.livefootballol.me
chagua link ilioandikwa acestream na url yake lazima inaziwe na
acestream://
ukipata url yake fungua aceplayer yako then click file halafu stream then paste url halafu subiri kidogo itaplay