Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Mkuu nikuulize kitu, ila ntahitaji unijibu kwa mapana zaidi ukipata muda, swali ni hivi, ni tv gani ya kisasa inauwezo wa kufanya kazi km kompyuta, yaani iwe na uwezo wa kukamata wireless ntwrk au kuinstall modem drivers, iwe na uwezo wa kuinstall programs km hii ya kodi na nyingnezo, je inawezekana kwa hizi tv za kisasa kuweka kuoperate browsers km operamini, chrome n.k, nawezaje kutype maneno while remote haijawekwa herufi, naomba unienlighten juu ya hili mkuu.
mkuu ukiwa na tv ya android utafanya yote hayo ila mimi sishauri sana kununua smart tv sababu zinauzwa bei ghali.

tv moja hio hio ikiwa smart inauzwa milioni 3 ikiwa sio smart inauzwa milioni 1.


njia ninayoipendekeza mimi ni kutumia tv box la android au la windows.

nunua tv yako ya kawaida yenye port ya hdmi halafu nunua na box, bei za box ni around laki 1 hadi laki 2 hivi kutegemeana na specs.

unachomeka box lako na tv then tv yako itabadilika na kuwa smart kwa gharama ndogo.

mfano kama box ni la android utapata playstore, browser na apps zengine.

hata kama una desktop linazagaa nyumbani unaweza kulifanya home theatre pc na kuifanya tv iwe smart sema tu desktop zinakula sana umeme.

kuhusu issue ya kucontrol ukiwa mbali tumia mouse na keyboard za bluetooth utakaa kwenye kochi na kufanya mambo yako bila shida

img
 
[QUOTE="Chief-Mkwawa, post: 18951169, member: 44606"
Nmeupenda ule uzi wako juu ya processor, tuijadili hii pc yangu wnz yny i5-3320M, kwanin wkt mwngn nkstrm mpira huwa inagandaganda while nkienda youtube haigandi, je haiwez kaa 64-bit maan hii nw ina 32-bit
 
hahaha inadepend na quality na aina ya streaming ila kodi yenyewe ni nzito kama kifaa chako hakina specs za kutosha.

unatumia kifaa gani? kama shida ni mpira tu nikuangalizie aina nyengine ya kuplay tv
Nmeupenda ule uzi wako juu ya processor, tuijadili hii pc yangu wnz yny i5-3320M, kwanin wkt mwngn nkstrm mpira huwa inagandaganda while nkienda youtube haigandi, je haiwez kaa 64-bit maan hii nw ina 32-bit
 
vp kuhusu application ya mobdro
mobdro ni streaming moja kati ya maelfu ya streaming na nafkiri ni clone ya tv stalker kama kumbukumbu zangu zipo sahihi. ni vyema kujifunza njia mbali mbali ili usipate usumbufu moja ikiwa slow au ikiwa offline
 
mobdro ni streaming moja kati ya maelfu ya streaming na nafkiri ni clone ya tv stalker kama kumbukumbu zangu zipo sahihi. ni vyema kujifunza njia mbali mbali ili usipate usumbufu moja ikiwa slow au ikiwa offline
sorry mkuu ,hv kuna tofaut kubwa sana kat ya 3G na 4G kibongo bongo?.bcz nafikiria kuhamia 4G.
mobdro ni streaming moja kati ya maelfu ya streaming na nafkiri ni clone ya tv stalker kama kumbukumbu zangu zipo sahihi. ni vyema kujifunza njia mbali mbali ili usipate usumbufu moja ikiwa slow au ikiwa offline
 
Mkuu nlikuwa natelekeleza kupiga 64-bit, but hii acestream mbn kila nkijarb cpat video while link zpo active nw??
mimi naitumia now hapa mechi ya chelsea toka imeanza hadi now ipo smooth bila lag.

unapata error gani?
 
Yeah hyo opera c ndio ipo kwny pc
opera ya pc sio mini ni opera tu,

aceplayer umeshaieka? copy ile link inayoanza na acestream:// halafu nenda kwenye aceplayer kisha click media halafu open stream paste then play subiri dk 1 itaanza kuplay

kama bundle la mawazo click tu link utakazozikuta, haiwezekani kuwe hakuna link mimi naziona hapa game ya city inaanza mda si mrefu jaribu
 
opera ya pc sio mini ni opera tu,

aceplayer umeshaieka? copy ile link inayoanza na acestream:// halafu nenda kwenye aceplayer kisha click media halafu open stream paste then play subiri dk 1 itaanza kuplay

kama bundle la mawazo click tu link utakazozikuta, haiwezekani kuwe hakuna link mimi naziona hapa game ya city inaanza mda si mrefu jaribu
hahahah mkuu me cnaga bundle za mawazo unajua hzi vocha za uni255 zko poa xana, xema hii itachukua muda kuielewa km kuna zngn ambazo zinkuwa rahc kwny operamini utanipatia nw angalia mpira kwnza
 
Soma zuri sana! Mkuu Chief naomba kuuliza je kwa sisi tunaotumia symbian(nokia e5) tunaweza kupata huduma hiyo?

Na kama tunapata tunatumia utaratibu upi?
 
Soma zuri sana! Mkuu Chief naomba kuuliza je kwa sisi tunaotumia symbian(nokia e5) tunaweza kupata huduma hiyo?

Na kama tunapata tunatumia utaratibu upi?
huwezi eka kodi au aceplayer kwa symbian ila unaweza ukastream kila kitu kwa kutumia core player.

install core player halafu tafuta links za quality ndogo kama 144p au 240p utaweza kustream.

ila inabidi utulie kuzipata, jaribu kugoogle term kama java phone tv streaming links then ujaribu hizo links.
 
Asante mkuu@Chief Mkwawa ngoja nijaribu kama nitashindwa nitakuomba uniwekee link samahani lakini mkuu kwa usumbufu!
 
Back
Top Bottom