Eliza Green
Member
- May 30, 2016
- 16
- 14
Ndugu zangu wa forum naombeni ushauri,mimi ni binti wa miaka 21, niko kwenye mahusiano na mwanaume ambaye ni mchumba wangu bado ajanioa lakini tunaishi pamoja ni miaka 2 sasa na tunafanya kazi idara moja, na ninavyo ongea nina mimba yake ya miezi 7, kwa bahati nzuri au mbaya huyu mwanaume alipata uhamisho kutoka mkoa wa Singida akaamishiwa mkoani mbeya, na mimi kuniacha Singida tangu ameondoka kwenda mbeya mawasiliano yetu yamekuwa ya shida sana, ukiachana na hilo amekuwa ni mtu anaeonekana ataki mawasiliano na mimi ila anajilazimisha.
Anakuwa mkali kama simba ukimpigia simu bila kuwa na sababu za msingi, baada ya miezi kadhaa na mimi nikapata uhamisho kuamia mkoa wa jirani na yeye yaani Mkoani Songwe,ambapo nina uwezo wa kwenda na kurudi kutoka yeye alipo mpaka kwangu, lakini tangu nimefika kwake tunalala wote usiku bila hata kusex mpaka asubuhi na akiondoka hiyo asubuhi anarudi usiku saa 5, yaani ajui mimi nimeshindaje ?
Na ukizingatia hali niliyo nayo ya ujauzito napata shida sana, ananiambia mazingira ya kazi ya mkoa tuliokuepo na huo ni tofauti kwahiyo muda mwingi amechoka, tangu nimetoka singida mpaka mbeya ni miezi 4 sasa hatujawahi kusex Ingawa tunalala kitanda kimoja na ukimlazimisha anakwambia mwanamke gani unawaza mapenzi mida wote!
Na anadai nampa wasiwasi kwa kitendo cha mimi kumtaka kimapenzi ikafikia stage ananiita mimi malaya na wakati nimemtunzia penzi lake tangu amehama huo mkoa mpaka tumeonana, Je ndugu zangu ni kweli napendwa au nalazimisha penzi? Na je huyu mwanaume ana mapenzi ya dhati na mimi mpaka ananinyanyasa kihisia wakati nina mimba yake
NB:kuhusu matumizi na pesa kila ninacbotaka ananipa lakini ananinyima haki ya mimi kusema kweli nipo kwenye ndoa yenye furaha nisaidieni maana sijui cha kufanya!
Anakuwa mkali kama simba ukimpigia simu bila kuwa na sababu za msingi, baada ya miezi kadhaa na mimi nikapata uhamisho kuamia mkoa wa jirani na yeye yaani Mkoani Songwe,ambapo nina uwezo wa kwenda na kurudi kutoka yeye alipo mpaka kwangu, lakini tangu nimefika kwake tunalala wote usiku bila hata kusex mpaka asubuhi na akiondoka hiyo asubuhi anarudi usiku saa 5, yaani ajui mimi nimeshindaje ?
Na ukizingatia hali niliyo nayo ya ujauzito napata shida sana, ananiambia mazingira ya kazi ya mkoa tuliokuepo na huo ni tofauti kwahiyo muda mwingi amechoka, tangu nimetoka singida mpaka mbeya ni miezi 4 sasa hatujawahi kusex Ingawa tunalala kitanda kimoja na ukimlazimisha anakwambia mwanamke gani unawaza mapenzi mida wote!
Na anadai nampa wasiwasi kwa kitendo cha mimi kumtaka kimapenzi ikafikia stage ananiita mimi malaya na wakati nimemtunzia penzi lake tangu amehama huo mkoa mpaka tumeonana, Je ndugu zangu ni kweli napendwa au nalazimisha penzi? Na je huyu mwanaume ana mapenzi ya dhati na mimi mpaka ananinyanyasa kihisia wakati nina mimba yake
NB:kuhusu matumizi na pesa kila ninacbotaka ananipa lakini ananinyima haki ya mimi kusema kweli nipo kwenye ndoa yenye furaha nisaidieni maana sijui cha kufanya!

