Kila siku ugomvi

Kila siku ugomvi

Mkwaruzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2011
Posts
563
Reaction score
98
Baada ya siku kadhaa kuingia ktk ndoa, mke aliamua kwenda kwa mama yake kumpa malalamiko juu ya mumewe. Akamwambia,
Mtoto: mama tokea aniowe n-vita-tuu n-vita-tuu.
Mama: angalau wewe mwanangu, kwasababu baba ako hata hicho kimoja ni kwa tabu.
Mtoto: siyo hivyo mama, yani kila siku ugomvi
 
Ha! ha..Wadau huyo binti haoni mama yake kavumilia kupata hicho kimoja japo ni kwa taabu sana, binti ongeza vionjo ( ubunifu) hilo litakuwa suluhisho la kipigo.
 
Back
Top Bottom