ndio mtapata akili. kama mnashindwa kuvumilia dini za wenzanu, basi katafuteni ulimwengu wa kwenu peke yenu huko kwenye mars au satun au hata pluto, muishi peke yenu na sharia law. hapo ndo patakuwa patamu. ila mkiishi na sisi wa dini zingine,lazima mtuheshimu. tukitaka kula viti moto vyetu lazima mtuache tule, ni haki yetu. mkituletea za kuleta, tutawalisha kitimoto na ninyi.
I support ausiees. kwanza wao ni wahamiaji, si warudi kwao kwenye sharia?
hakuna waislam wazawa ausiees. kule kuna wazungu. native ausiees ni weusi kama sisi na wana dini za asili kama waafrica wa asili kule kijijini. wazungu wamekaa sana pale, wakawabadilisha walio wengi kuwa modern. baadaye dini za kiislam ndo zikahamia toka indonesia na makabila mengine ya asia. ila ukweli ni kwamba, austraria ni ya wazungu wahamiaji toka ulaya. kumbuka ile ilikuwa new land, zamani watu wachache waliishi, na hawakuwa waislam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.