maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,493
- 3,382
Usiombe mwanamke agundue wewe ni ZUZU na bwege kwenye mapenzi utapata shida maana atakudanganya mpaka basi.Kaka hapo mpaka ustukie mchezo mwenzio ANAPAUA nyumba yake kijijini kwao
Huwa wanakuwa hawajitambui ukiwa mwoga unaweza kukimbia..unachotakiwa kufanya nikujaribu kumsemesha(kumwita jina lake)kwa kumgusagusa...atashituka na kuanza kuuliza ni nini kimetokea?Wakati anazimia anakua amejiegesha mkao gani?
Usikute unapewa signal kwa jambo fulani ila unaapuzia...
Cc: mahondaw
[emoji2][emoji2][emoji2]za jumapiliMnapenda slope mpk mnaenda kukaza wagonjwa
Huwa wanakuwa hawajitambui ukiwa mwoga unaweza kukimbia..unachotakiwa kufanya nikujaribu kumsemesha(kumwita jina lake)kwa kumgusagusa...atashituka na kuanza kuuliza ni nini kimetokea?
[emoji2][emoji2][emoji2]za jumapili
Ana kifafa huyoNaww unazimiaga?!
mzee baba una mtwangiO kama mchi[emoji23]Jamani naombeni ushauri if mmewahi kupia nanyi hichi kilichonikita mimi kwa mrembo huyu usiku wa kuamkia leo.
Kila tukiingia mzigoni Goal moja mtoto anazimia na after 20mins anazinduka anakunywa maji mengi then kukaendelea then akazima tena amezima mara 3, ila anasema ni kawaida yake sasa naombeni kujua wenzangu na mie mmewahi kupitia kwa haya kama niliyoyaona mimi? Kwani ni kweli anazimia na sio ananiektia la hasha....
Nisaidieni.......
Nimecheka aseeeAngalia atapitiliza! Sijui utakimbilia wapi siku hiyo!!