DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.
Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.
Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
kwanza kabisa nikupe onyo!nipe mbinu mkuu
Utakubaliwaje bila kuonesha ushirikiano mkuu!ni kweli mkuu ila lazima wakubali kwanza
Domo zege likoje mkuu[emoji1] [emoji1] mkuu we ni domo zege!!me sio domo zege ila wana watu wao
Usimtishe mkuu..Mwaka wa kwanza,hivi unajua kwel maana ya supp,carry,na kudisco. Ndo nyie mnaochunwa mpaka huruma,mnapangwa folen ndefu yenye zamu.
Miujiza ilikuwa wakati wa yesuTulia watajileta wenyewe
Well said huyu jamaa ndomtu humu ndani wngn ni virus tuUsimtishe mkuu..
Mwaka wa kwanza ndio mwaka wa kujifunza maisha ya chuo
Muache kwanza afanye anayoyatamani hizo Supplementaries, Carry-Overs zitambadilisha hukohuko mbele kwa mbele..
Ila mkuu..!me situmiagi njia hyo mkuu
Usimtishe mkuu..
Mwaka wa kwanza ndio mwaka wa kujifunza maisha ya chuo
Muache kwanza afanye anayoyatamani hizo Supplementaries, Carry-Overs zitambadilisha hukohuko mbele kwa mbele..
Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.
Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.
Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.