Habari wanaJF
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27 na nimeajiriwa kampuni moja huku Morogoro kuna kitu nashindwa kukielewa kwenye maisha haya ya mapenzi, kwangu mimi naona cha ajabu msichana nikitokea kumpenda sana na yeye kunipenda sana nimejikuta wote niliokuwa nao wamenizidi umri na ambao nimewazidi umri huwa hatuna mapenzi tunaishia kuachana na mimi kutafuta mwingine.
Ambapo napata mwengine tena ambao nawajua na tunapendana sana mwisho wa siku najikuta kumbe wote wamenizidi umri.
Wanajamvi hili limekaaje na limenitokea kwa wadada 4 ambao tulipendana sana kwa kipindi tofauti toka nipo shule.