Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,126
- 1,439
Hii habari yako haituhusu kabisa. Purely, private matters
unanyota ya mziwanda
Ila hata hao watu wazima inategemea kuna wengine hawafai na utu uzima waoMost definitely. Watu wengi wana-survive kwa akili za kushikiwa.
Ukiwaona ni wadogo kimaumbo na huwez kujua kama wamenizid umri,nikiwa nay watu lazma wajue mm ni mkubwa na ki2 kingne unakuta wamenizid mwaka 1 au miwili na tunakuwa tupo kweny mapenz takriban mwez ndo 2naulizana na kujua kumbe wamenizid na wenyew hawana shida kabsa japo wanajua mm ni mdogo kwao na mapenz yanaendelea na niliye nae sasa amenzd miaka 2 na tunapendana sana japo anajua
Mwanamalundi in da house.....!Hii habari yako haituhusu kabisa. Purely, private matters
Ila hata hao watu wazima inategemea kuna wengine hawafai na utu uzima wao
hii imekaa kuwa we unapenda kulelewa na unapeda kuongozwa na si kuongoza.... sasa hizo ni tabia za kike mkuu samahani neno kali lakini ukweli,.,..... kwa hyo sasa anza kutongoza waodogo kwako
mkuu Apologize, pole sana kaka. Sasa acha kuhangaika na hao bibi vizee, maana mwisho wa siku watakulisha ugoro. Tulia kwa huyu pacha wako Apologise lady ili mpae pamoja. Teh
hii imekaa kuwa we unapenda kulelewa na unapeda kuongozwa na si kuongoza.... sasa hizo ni tabia za kike mkuu samahani neno kali lakini ukweli,.,..... kwa hyo sasa anza kutongoza waodogo kwako
Nipo Pacha wangu Apologise Lady,ghjMmmh!!!!!!!!! mimi nina pacha tayari na mtoto mkubwa kama yeye monaco
Nipo Pacha wangu Apologise Lady,ghj
Japo Umenizidi Umri but uta enjoy sana,nami "nitakulea" Tulia kwa Monaco hutajuta kuwa na hali uliokuwa nayo...Tena utajilaumu na kujutia siku zote Ulikuwa wapi kumuona Monaco...Mimi ni Toto sikivu...