Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,198
Kila ninavyoitafakari mbingu kuna mengi ya kushangazwa,
1:mbingu imetengenezwa na nini?
2:Ni umbali wa kiasi gani ili kuweza kuifikia mbingu.
3:mbingu tunayoina Angani ndiyo ile mbingu tuliyoandaliwa kukaa tukifika mbinguni?.
Hakika mungu ni mwema na mwenye uweza wa yote katikati ya Fumbo hili na bado mbingu ipo lakini hakuna jibu la Mbingu ni nini?
Katika kila Hatua moja mbele kuna hatua moja zaidi ya kuifikia mbingu .
Je? Mbingu inayosemwa kwenye biblia ndio hiyo mbingu tunayoina kutoka Angani.?
Hakika mbingu ni makao yetu ya milele lakini mbingu hiyo tuliyoandaliwa ni mbingu ya Namna gani?
Nb; Hakuna haijuae kesho Fanya mema leo ili uweze kuitengeneza njia iliyo bora ya kwenda mbinguni.
1:mbingu imetengenezwa na nini?
2:Ni umbali wa kiasi gani ili kuweza kuifikia mbingu.
3:mbingu tunayoina Angani ndiyo ile mbingu tuliyoandaliwa kukaa tukifika mbinguni?.
Hakika mungu ni mwema na mwenye uweza wa yote katikati ya Fumbo hili na bado mbingu ipo lakini hakuna jibu la Mbingu ni nini?
Katika kila Hatua moja mbele kuna hatua moja zaidi ya kuifikia mbingu .
Je? Mbingu inayosemwa kwenye biblia ndio hiyo mbingu tunayoina kutoka Angani.?
Hakika mbingu ni makao yetu ya milele lakini mbingu hiyo tuliyoandaliwa ni mbingu ya Namna gani?
Nb; Hakuna haijuae kesho Fanya mema leo ili uweze kuitengeneza njia iliyo bora ya kwenda mbinguni.